Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 14,624
- 20,666
- Wapi umekwama na nini unataka kujifunza?Hivi hakuna ambaye yupo tayari kunisaidia nijue haya mambo? Shida nini ndugu zangu??????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- Wapi umekwama na nini unataka kujifunza?Hivi hakuna ambaye yupo tayari kunisaidia nijue haya mambo? Shida nini ndugu zangu??????
Actually hawaja copy, hii feature walikuwa nayo but kwa wale wanao lipia or subscribe. Na recently wameachia 3o-mini ambayo ni bora zaidiCHATGPT nao wame copy from DEEPSEEK, leo wame update from thinking wao wameita reasoning. Picha hizo chini:
View attachment 3221710View attachment 3221711
Not deep into coding sana, but niko the otherside. Difference hapo ni ndogo sana, chatgpt wana reasoning feature pia. Chatgpt inakupa technicql details while deepseek inashusha sababu why.Habari wa coding.
Kama ttitle inavyojieleza kwa utafiti niliyofanya kwenye upate wa coding, DEEPSEEK niko vizuri zaidi kwa kuandika code ambazo sija experience kwenye CHATGPT, nimekuwa mdau wa AI since 2021 na nimetengeneza project kadhaa kwa kutumia CHATGPT . Coding imekuwa rahisi nowadays kwa hizi AI ambazo zinashindana kila kukicha ila CHATGPT anakosea sana kwenye coding inafika sehem hana majibu , lakini kwa huyu DEEPSEEK yuko vzuri sana kwa kuelezea namna ya kudili na prompt yako na ana andika code ndefu bila kukatakata au kokosea, na ukimwambia arekebishe akoseikosei kama CHATGPT, na sifa nyingine anayo ni kucopy code uliyompa arekebishe na modify kwenye tatizo na kuandika full code ambapo CHATGPT hafanyi hivyo.
Nipo na project ya kutengeneza bot wa ku trade crypto kwenye update wa TRIANGULAR ARBITRAGE , huyo DEEPSEEK ameandika code ambayo sijawai kuona toka nianza kutumia CHATGPT kwa topic ile ile ambayo niliuliza kwa CHATGPT.
Tatizo kubwa alilonalo DEEPSEEK kwa sasa ni kuzidiwa kwa server. Server zake ziko slow sana kutokana na kuzidiwa na request kama ilivyokuwa CHATGPT hapo awali. Usiku kuanzia saa 6 , server ziko fasta sana.
Kwa sasa natumia zote ila nimejikita sana kwenye DEEPSEEK kutokana na code zake ambazo ana andika, ziko very advanced compared to CHATGPT.
Lai yangu kwa watanzania: Tusiwe washabiki wa technolojia bila kuchua hatua ya kufikiri namna ya kutumia technolojia ya mpya kutatua changamoto za maisha(Especially financially), kwa sasa unaweza fanya chochote kinachoweza kukupa pesa kwa kutumia AI. Mfano unaweza andikia watu business pan, project proposal, research, content marketing.
Kwa watu wanaopenda entertainment unaweza tumia AI ukatunda stori za kusisimua kama stori za mapenzi, kijasusi, kutisha n.k. Pia unaweza ukajifunza namna ya kukuza biashara yako kwa kuuliza kwenye hizi AI, ni njia rahisi sana ambayo inaweza ikakusaidia kukuza biashara kwenda next level.
AI imekuja kupunguza maswali mengi ambayo unayo kuhusu fursa ambazo unazo kama ideas, unaweza uka validate your business ideas before implementing...
Habari Mwl.RCTView attachment 3225710
Tumia njia hii
- Au download na tumia offline (iwapo PC yako inamudu).
- Pitia LM studio (hapo server ya mchina haihusiki)
- Windsurf (Angalia picha, Natumia muda huu)
- Pia waweza pitia AWS
---
Windsurf:
View attachment 3223643
---
Poe:
View attachment 3223666
Currently natumia Chrome kuaccess DeepSeek, napata shida sana ya server busy
LM, Windsurf na AWS walichofanya ni kudownload na kufanya upload kwenye sever zao, hivyo matumizi yako ni kupitia server zao na si server za mchina.Umesema nikitaka kutumia DeepSeek bila "Server is busy" noise nafanyaje hapo?
Kwamba nitumie LM STUDIO? Hii ni another website/search engine/desktop application?
Changamoto sana.LM, Windsurf na AWS walichofanya ni kudownload na kufanya upload kwenye sever zao, hivyo matumizi yako ni kupitia server zao na si server za mchina.
- Download na iweke kwenye PC yako, na tumia OFFLINE.
- Mchakato wake kufanikisha download na kuiweka offline tazama hii video.
sure mkuu huyu anatumia ya bureacha uongo kwenye coding chatgpt yuko mbali kulio AI yeyote ile
Tumia hiyo option ya pili, ila sio offline, Online kwa server zao Windsurf.Ama nihamie kwenye hiyo Windsurf kama unayotumia wewe?
Tumia hiyo option ya pili, ila sio offline, Online kwa server zao Windsurf.
Gemini Pro 2.0 Imetoka Jana:acha uongo kwenye coding chatgpt yuko mbali kulio AI yeyote ile
Bila shaka anatumia o1-Mini (Free version) - Ambapo kwenye coding ina asilimia 60% ya ufanisi.sure mkuu huyu anatumia ya bure
Deepseek ina mawazo ya kikomunisti na haiko huru. Inaogopahata kusema Mao alikuwa nani huko China. Hata askari katili kama Faustine Mafwele deepseek inajifanya haimjue wakati ChatGPT inasema kabisa ni askari mwenye tuhuma za kufanya mauaji na ukatili.Habari wa coding.
Kama ttitle inavyojieleza kwa utafiti niliyofanya kwenye upate wa coding, DEEPSEEK niko vizuri zaidi kwa kuandika code ambazo sija experience kwenye CHATGPT, nimekuwa mdau wa AI since 2021 na nimetengeneza project kadhaa kwa kutumia CHATGPT . Coding imekuwa rahisi nowadays kwa hizi AI ambazo zinashindana kila kukicha ila CHATGPT anakosea sana kwenye coding inafika sehem hana majibu , lakini kwa huyu DEEPSEEK yuko vzuri sana kwa kuelezea namna ya kudili na prompt yako na ana andika code ndefu bila kukatakata au kokosea, na ukimwambia arekebishe akoseikosei kama CHATGPT, na sifa nyingine anayo ni kucopy code uliyompa arekebishe na modify kwenye tatizo na kuandika full code ambapo CHATGPT hafanyi hivyo.
Nipo na project ya kutengeneza bot wa ku trade crypto kwenye update wa TRIANGULAR ARBITRAGE , huyo DEEPSEEK ameandika code ambayo sijawai kuona toka nianza kutumia CHATGPT kwa topic ile ile ambayo niliuliza kwa CHATGPT.
Tatizo kubwa alilonalo DEEPSEEK kwa sasa ni kuzidiwa kwa server. Server zake ziko slow sana kutokana na kuzidiwa na request kama ilivyokuwa CHATGPT hapo awali. Usiku kuanzia saa 6 , server ziko fasta sana.
Kwa sasa natumia zote ila nimejikita sana kwenye DEEPSEEK kutokana na code zake ambazo ana andika, ziko very advanced compared to CHATGPT.
Lai yangu kwa watanzania: Tusiwe washabiki wa technolojia bila kuchua hatua ya kufikiri namna ya kutumia technolojia ya mpya kutatua changamoto za maisha(Especially financially), kwa sasa unaweza fanya chochote kinachoweza kukupa pesa kwa kutumia AI. Mfano unaweza andikia watu business pan, project proposal, research, content marketing.
Kwa watu wanaopenda entertainment unaweza tumia AI ukatunda stori za kusisimua kama stori za mapenzi, kijasusi, kutisha n.k. Pia unaweza ukajifunza namna ya kukuza biashara yako kwa kuuliza kwenye hizi AI, ni njia rahisi sana ambayo inaweza ikakusaidia kukuza biashara kwenda next level.
AI imekuja kupunguza maswali mengi ambayo unayo kuhusu fursa ambazo unazo kama ideas, unaweza uka validate your business ideas before implementing...
Huku ni kudumazwa akili Ila inarahisisha mambo piaHabari wa coding.
Kama ttitle inavyojieleza kwa utafiti niliyofanya kwenye upate wa coding, DEEPSEEK niko vizuri zaidi kwa kuandika code ambazo sija experience kwenye CHATGPT, nimekuwa mdau wa AI since 2021 na nimetengeneza project kadhaa kwa kutumia CHATGPT . Coding imekuwa rahisi nowadays kwa hizi AI ambazo zinashindana kila kukicha ila CHATGPT anakosea sana kwenye coding inafika sehem hana majibu , lakini kwa huyu DEEPSEEK yuko vzuri sana kwa kuelezea namna ya kudili na prompt yako na ana andika code ndefu bila kukatakata au kokosea, na ukimwambia arekebishe akoseikosei kama CHATGPT, na sifa nyingine anayo ni kucopy code uliyompa arekebishe na modify kwenye tatizo na kuandika full code ambapo CHATGPT hafanyi hivyo.
Nipo na project ya kutengeneza bot wa ku trade crypto kwenye update wa TRIANGULAR ARBITRAGE , huyo DEEPSEEK ameandika code ambayo sijawai kuona toka nianza kutumia CHATGPT kwa topic ile ile ambayo niliuliza kwa CHATGPT.
Tatizo kubwa alilonalo DEEPSEEK kwa sasa ni kuzidiwa kwa server. Server zake ziko slow sana kutokana na kuzidiwa na request kama ilivyokuwa CHATGPT hapo awali. Usiku kuanzia saa 6 , server ziko fasta sana.
Kwa sasa natumia zote ila nimejikita sana kwenye DEEPSEEK kutokana na code zake ambazo ana andika, ziko very advanced compared to CHATGPT.
Lai yangu kwa watanzania: Tusiwe washabiki wa technolojia bila kuchua hatua ya kufikiri namna ya kutumia technolojia ya mpya kutatua changamoto za maisha(Especially financially), kwa sasa unaweza fanya chochote kinachoweza kukupa pesa kwa kutumia AI. Mfano unaweza andikia watu business pan, project proposal, research, content marketing.
Kwa watu wanaopenda entertainment unaweza tumia AI ukatunda stori za kusisimua kama stori za mapenzi, kijasusi, kutisha n.k. Pia unaweza ukajifunza namna ya kukuza biashara yako kwa kuuliza kwenye hizi AI, ni njia rahisi sana ambayo inaweza ikakusaidia kukuza biashara kwenda next level.
AI imekuja kupunguza maswali mengi ambayo unayo kuhusu fursa ambazo unazo kama ideas, unaweza uka validate your business ideas before implementing...
Unataka msaada wa kujua nini?Hivi hakuna ambaye yupo tayari kunisaidia nijue haya mambo? Shida nini ndugu zangu??????
Kwani kulipia ni sh ngapi na je nini kinatokea baada yakulipia?Kailipie CHATGPT uone nini kitakachotokea.
Ngoja niwahi haraka,nidownload deepseekActually hawaja copy, hii feature walikuwa nayo but kwa wale wanao lipia or subscribe. Na recently wameachia 3o-mini ambayo ni bora zaidi
Difference between two mmoja anatoa free mwingine unalipia. Ni kuomba tu deepseek wasije ifanya iwe biashara , maann
a watarudi kule kule kwa chatgpt
Naomba unifundishe. Mimi mwalimu by professional. Nawezaje kuitumia ktk kazi za kuwaelimisha Taifa la kesho ili wawe na uwezo wa kuihoji serikali ya ccm.- Wapi umekwama na nini unataka kujifunza?
View attachment 3224592