Coin ya Tsh 500 inakuja?

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2008
Posts
54,762
Reaction score
59,204
kwa habari nilizozipata ni kuwa serikali ina mpango wa kutengeneza koini ya jero!! ni vipi imakaaje hii?
 
serikali imeingia hasara kubwa kutengeneza hizo noti, ghafla wanaingia gharama nyingine za kuteneneza hizo coin. Anyway bongo hii ni zaidi ya tuijuavyo. Yaani ni ajabu, unaenda benki unakutana na noti mpyaaaaaaaaa ya zamani.
 
madai ya gavana ni eti hizo za 500 mzunguko wake ni mkubwa sana ndo maana zimechakaa haraka
 
kwa habari nilizozipata ni kuwa serikali ina mpango wa kutengeneza koini ya jero!! ni vipi imakaaje hii?
itakuwa mzuka tuu tutaungana na nchi kama Uganda ambao tayari wanayo coin...lakini cjui itakuwa na madhara gani katika uchumi wetu wataalamu naomba mtujuze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…