Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upuuzi uko wapi mkuu na wewe una haki ya kumtaja wakwako au unaweza kumtaja hata Saka wa arsenalUpuuzi mtupu
Mzize yupi wa Yanga au Manchester United?Ni type ya mzize.
Ni kweli kabisa tena vyumbo vya habari vikuu kama sky sports BBC nk, wataharibu hicho kipaji atasakamwa mpaka apate majeruhi epl sio ligi ya mchezoWaingereza Ni kawaida yao kuwapamba wachezaji wao.
Hahahaha 🤣Mzize yupi wa Yanga au Manchester United?
CrapUpuuzi uko wapi mkuu na wewe huna haki ya kumtaja wakwako au unaweza kumtaja hata Saka wa arsenal
Saka ni funga kazi.Upuuzi uko wapi mkuu na wewe huna haki ya kumtaja wakwako au unaweza kumtaja hata Saka wa arsenal
Na amini hapa nyumbani utakua mashabiki wa Simba, wao hawana hoja ni kuimba taarabu tu.Saka ni funga kazi.
Kwa sasa kwenye EPL yeye ni mwanzo yeye ni mwisho.
Ni hayo tu!
Kwa niniNa amini hapa nyumbani utakua mashabiki wa Simba, wao hawana hoja ni kuimba taarabu tu.
Kwani huwajui wanavo piga kelele bila factsKwa nini
Yanga ndio wenye tabia hiyo mkuu.Kwani huwajui wanavo piga kelele bila facts
Hawaja sema iko kama Messi wamesema closest to messi .....wewe unapendekeza nani?Kua kama messi hapana ila ni mchezaji mzuri
Closest to mzee ni aspect kubwa palmer anacheza game yake vzr lakini messi mzee ni habari nyengineHawaja sema iko kama Messi wamesema closest to messi .....wewe unapendekeza nani?
Kitendo cha kusema anamkaribia Messi ni bonge la tusi ambalo ni nadra kusameheka.Hawaja sema iko kama Messi wamesema closest to messi .....wewe unapendekeza nani?
Sawa lazima kuepp mchezaji yoyote awe closest to messi sio lazima awe kama Messi, kwako ni nani?Closest to mzee ni aspect kubwa palmer anacheza game yake vzr lakini messi mzee ni habari nyengine