chilumendo
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,079
- 3,550
Tupe statistics za saka na palmer misimu uliopita na huu wa sasa ili tuone kama ni ndoto nyevu anazo naniKumpita bukayo saka asahau.
Ni ndoto nyevu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupe statistics za saka na palmer misimu uliopita na huu wa sasa ili tuone kama ni ndoto nyevu anazo naniKumpita bukayo saka asahau.
Ni ndoto nyevu.
Kiberenge ni Saka au rahim starling? wote ni wa arsenalKuna watu hapo juu wanamfananisha palmer na saka? Yaani palmer umlinganishe na kiberenge saka aisee
kila mtu na chake kimfaacho hicho kiberenge ni kitu kingine kabisa akiwa uwanjani anatupa burudan kabisaKuna watu hapo juu wanamfananisha palmer na saka? Yaani palmer umlinganishe na kiberenge saka aisee
Ni kumpa sifa za kijinga nyie waingereza mna shida gani? Delle alli,stealing,jack wilshear mliwapoteza kwenye game kwa upumbavu huo wa kumpa sifa mtu ambae hastahili cole palmer hata nusu ya mbape hajaifikiaWaingereza wanasema mchezaji wa Chelsea raia wa uingereza ana muelekeo wa kuwa Messi mwingine siku za mbeleni Wewe unakubali au unakataa?
We taja wa kwako mwenye muelekeo huo, mimi namkubali huyu dogo japo mimi ni mshabiki wa CFC.
Ni kumpa sifa za kijinga nyie waingereza mna shida gani? Delle alli,stealing,jack wilshear mliwapoteza kwenye game kwa upumbavu huo wa kumpa sifa mtu ambae hastahili cole palmer hata nusu ya mbape hajaifikiaWaingereza wanasema mchezaji wa Chelsea raia wa uingereza ana muelekeo wa kuwa Messi mwingine siku za mbeleni Wewe unakubali au unakataa?
We taja wa kwako mwenye muelekeo huo, mimi namkubali huyu dogo japo mimi ni mshabiki wa CFC.
Wote kwa palmer ni viberengeKiberenge ni Saka au rahim starling? wote ni wa arsenal
Mkuu hawajasema amefikia ila wanasema anamuelekeo huo, kama wewe unapinga mwenye muelekeo huo ni nani kwasasa.Ache
Ni kumpa sifa za kijinga nyie waingereza mna shida gani? Delle alli,stealing,jack wilshear mliwapoteza kwenye game kwa upumbavu huo wa kumpa sifa mtu ambae hastahili cole palmer hata nusu ya mbape hajaifikia
Sifa anastahili unataka tumpe antony wa man united wakati hastahili?Ache
Ni kumpa sifa za kijinga nyie waingereza mna shida gani? Delle alli,stealing,jack wilshear mliwapoteza kwenye game kwa upumbavu huo wa kumpa sifa mtu ambae hastahili cole palmer hata nusu ya mbape hajaifikia
Fanya nini cha maana?Sifa anastahili unataka tumpe antony wa man united wakati hastahili?
Mkuu wambie waacha mzaha, ile timu imesha jifia kifo cha mende laana ya kuimba vicombe vya Epl kipindi cha Furgson.Sifa anastahili unataka tumpe antony wa man united wakati hastahili?
Achana naoMkuu wambie waacha mzaha, ile timu imesha jifia kifo cha mende laana ya kuimba vicombe vya Epl kipindi cha Furgson.
Wa mbuzi kuongea, yaani ndio waingereza hata kwenye list ya uchezaji bora wa ulaya huwasikii,we call them one season wondersUpuuzi mtupu
Naunga mkono hojaUpuuzi mtupu
Clement Mzize wa Deportivo de Utopolo Vyura FC!Waingereza wanasema mchezaji wa Chelsea raia wa uingereza ana muelekeo wa kuwa Messi mwingine siku za mbeleni Wewe unakubali au unakataa?
We taja wa kwako mwenye muelekeo huo, mimi namkubali huyu dogo japo mimi ni mshabiki wa CFC.
Well no offense yuko vizuri, walikuja wengi kufananishwa na messi including eden hazardWaingereza wanasema mchezaji wa Chelsea raia wa uingereza ana muelekeo wa kuwa Messi mwingine siku za mbeleni Wewe unakubali au unakataa?
We taja wa kwako mwenye muelekeo huo, mimi namkubali huyu dogo japo mimi ni mshabiki wa CFC.
Cole Palmer ni design ya kina Nwanko Kanu na Barbatov hawa wachezaji walikuwa slow ila very efficient. Ila kwa Messi ni ardhi na Mbingu,execution ya Messi uwanjani, ile brain anayo yy peke yake.Waingereza wanasema mchezaji wa Chelsea raia wa uingereza ana muelekeo wa kuwa Messi mwingine siku za mbeleni Wewe unakubali au unakataa?
We taja wa kwako mwenye muelekeo huo, mimi namkubali huyu dogo japo mimi ni mshabiki wa CFC.