- Thread starter
- #81
Mkuu Harrycane ana mpira gani baada ya kutoka spurs Giggs sio muingerezaWapo mkuu harry kane, giggs n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Harrycane ana mpira gani baada ya kutoka spurs Giggs sio muingerezaWapo mkuu harry kane, giggs n.k
He was on fire kabisa , dont know nn kilimpataIla hazard wa chelsea alikua moto sana, kama angeundeleza ule moto madrid, nadhani saiv angekua anazungumzwa ktk level kubwa.
Harry kane kamaliza msimu jana akiwa top scorer wa bundersliga, msimu huu so far yeye ndie anaeongoza kwa magoli.Mkuu Harrycane ana mpira gani baada ya kutoka spurs Giggs sio muingereza
LEO HANA MFANO, KWENYE FOOTBALL.Waingereza wanasema mchezaji wa Chelsea raia wa uingereza ana muelekeo wa kuwa Messi mwingine siku za mbeleni Wewe unakubali au unakataa?
We taja wa kwako mwenye muelekeo huo, mimi namkubali huyu dogo japo mimi ni mshabiki wa CFC.
Dah! Mi mwenyewe hujiuliza pia, hazard alikua ni promising player ni vile tu mambo hayakumuendea poa pale santiago.He was on fire kabisa , dont know nn kilimpata
Rooney walimfanananisha na Pele.Waingereza Ni kawaida yao kuwapamba wachezaji wao.
Messi kakiwasha sana hata baada ya xavi & iniesta kuondoka, pia kakikawasha sana tim ya taifa bila xavi wala iniesta.Ila tuwe wakweli Messi bila Xavi na Iniesta anakuwa kama Di Maria aliechangamka.Messi angeenda Man city ya Pep sidhani kama angetamba kama alivyotamba pale Barca.Kwa hiyo kusema kuwa hatotokea kama Messi huo ni uongo.
Wanaoujua na wenye mpira wao wanasema. Wewe wa Mpitimbi uko unataka kusema nini? By the way njoo na facts ku support unachokisemaHamna kitu hapo, wala usijifariji.
Ukikua utanielewaWanaoujua na wenye mpira wao wanasema. Wewe wa Mpitimbi uko unataka kusema nini? By the way njoo na facts ku support unachokisema
Man am old enough to differ jokes and a failed arguement.Ukikua utanielewa
Alivyopotea potea hakuna ajuaye.😀😀😀😀Rooney walimfanananisha na Pele.
Haya, nimekupa ushindi wa mezani.Man am old enough to differ jokes and a failed arguement.
Siku nyingine ukitaka kupinga uje na sababu sio kila mtu ana ufinyu wa maarifa kama uliyonayo na usije kujipna unajua zaidi ya mwingine
Mwamba anashangaza sana, anataka kutuaminisha ile kasi na dribble za mess awapo na mpira, zilisababishwa na xavi & iniesta?Pele bila Garrincha,Zico,Socrates hamna Pelle.Dinho kulikuwa na Marques na akina Decco,Zidane kulikuwa na akina Makelele na kiungo asiye imbwa Guti ambaye alikuwa na shughuli pevu hamna mchezaji anayeng'aa yy kama yy.
Okay na Vp kwa timu yake ya Argentina, maana Messi kacheza fainal saba na timu yake ya taifa 4 copa America,1 finalisma na 2 World cup.Kacheza fainal ya Vijana wa FIFA na Fainal Olympic. Huku alikuwa anabebwa na nani?na fainal zote hizo yy ndiye aliyekuwa mchezaji bora wa hizo tournament.
Alikuwa tena, kwani amekufa? Mesi ni GOAT sema anaMimi ni mshabiki wa Chelsea, na pia ni team R7! Ila lazima niwe mkweli. Leonel Messi alikuwa na uwezo mkubwa sana wa kushambulia. Alikuwa na nguvu, kasi, pace, mwepesi!!
Cole Palmer kiufupi hana hizo sifa zote nilizozitaja hapo juu, na kale kamwili kake ka mayai mayai.
Kwangu mimi since nimemuona messi dah kwa sasa sijaona kaka niwe tu muwaziSawa lazima kuepp mchezaji yoyote awe closest to messi sio lazima awe kama Messi, kwako ni nani?
Acha kufananisha SGR na treni ya kwenda mpandaWaingereza wanasema mchezaji wa Chelsea raia wa uingereza ana muelekeo wa kuwa Messi mwingine siku za mbeleni Wewe unakubali au unakataa?
We taja wa kwako mwenye muelekeo huo, mimi namkubali huyu dogo japo mimi ni mshabiki wa CFC.
Kumbe ni kupendekeza, basi mimi nampendekeza Kibu DenisHawaja sema iko kama Messi wamesema closest to messi .....wewe unapendekeza nani?