John Rogath Nguzo
Senior Member
- Dec 31, 2011
- 148
- 52
Ukweli kila siku utakuweka free!siko team yoyote lakini Diamond is soooooo well ahead it doesn't worth arguing.
siko team yoyote lakini Diamond is soooooo well ahead it doesn't worth arguing.
Una kipaji cha kuongea na wanaojitoa ufahamu. Kazi nzuri.
king ni noma... Ndo maana hataki kumiliki nyumba anataka kupanga na wanachi wenye maisha ya kawaida
siko team yoyote lakini Diamond is soooooo well ahead it doesn't worth arguing.
Duh! Hii ni sawa na mwanaume anayeshangilia na kutamba kupata mtoto wa kiume wakati hata chu'pi bado hajavuliwa!!!
labda Anataka amfikishe Sehem Flan ,mbal zaid ya sasa
wakuu nina swali dogo hapa kwa nini davido katokea kumganda kiba akitaka wafanye colabo?