Em' weka picha tuone kama kwel kamganda alafu ntajua nikupe jibu gan.Unaweza kuwa team Kiba wew
ngoja nkutajie list ya wanamuziki siyo wasanii..
1.Barnaba Elias
2.Ally Kiba
3.Belle 9
4.Ben Paul
5.Dimond........na nkupe tu taarifa mkuu kwamba ikitokea hao watu nlowaorodhosha hapo juu wakianza kufanya International Collaboration hali itakuwa siyo nzurii kwa ndugu zetu zetu maana wao wanahisi namba 5 hapo juu ndo kila kitu kwa muziki wa Tanzania lakini siyo kweli hahahahaaa ni suala la nafasi tu...ahsante hop tumeelewana.