Collabo na Alikiba: Je, Davido ni njia kuu ya wasanii wa Tanzania kuwika kimataifa?

wakuu kuna tetesi kuwa mond amemwomba king amuunganishie na r.kelly.
 
Kiba abebeki,amemshindwa R KELLY atamuweza davido ambae umaarufu wake mwisho Africa?yaan ingekuwa darasan kiba sawa na mtoto asiefundishika.....
 

Sasa hizo nafasi namba 1 to 4 hawazipendi nini? Hahaha you are so funny keep it up!!!
 
inawezekana kabisa diamond anapo pita lazima wengine wapite si ndo rais yule bila kupita njia ya mondi bin laden prezidaa wa muziki nchini mtafanikiwaje ni ku serereka tu aliko pita chibu ili tutoke nasisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…