Collection ya Quotes nzito kutoka kwenye nyimbo za Hip Hop

Collection ya Quotes nzito kutoka kwenye nyimbo za Hip Hop

Shule wanazojenga watoto wao hawasomi, wakiuugua wanalazwa hospital za mtoni, na bado kuwachagua hamkomi kwa huo ujinga, umaskini na maradhi hamponi.

Ukweli heri unenwe ila usinenwe ki ukamala, hii katiba ya wananchi au katiba ya watawala, wanarithishana viti alafu na sisi tumelala eti mkaa kimya siku hizi ndo MZALENDO NALA...

KATIBA MPYA - MBISHI NIKKI
 
Nikki mbishi dhima ya Emce


"dhima ya Mc ni kuzima ma-rapa wanajiona wao wa gumu na bima ya afya hawajakata dhaifu kama wanautapia mlo washazoea kupatakwa kila wanapowani tunzo"
 
Back
Top Bottom