College ya Afya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mbeya inajengwa sehemu gani?

College ya Afya ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Mbeya inajengwa sehemu gani?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Wakuu Chuo hiki kinajenga wapi College yao ya afya pale Mbeya? Mkuu wao wa chuo, JK aliwaombea eneo la kujenga chuo.

Waliomba wajenge viwanja vya Tanganyika packers. Badaaye nasikia wizara ya kilimo walisema lile eneo wana kazi nalo, wanataka kufuga ng'ombe hivyo chuo wakapewa eneo jingine.

Ni wapi huko wamepewa eneo?
 
Wakuu Chuo hiki kinajenga wapi College yao ya afya pale Mbeya? Mkuu wao wa chuo, JK aliwaombea eneo la kujenga chuo. Waliomba wajenge viwanja vya Tanganyika packers. Badaaye nasikia wizara ya kilimo walisema lile eneo wana kazi nalo, wanataka kufuga ng'ombe hivyo chuo wakapewa eneo jingine.

Ni wapi huko wamepewa eneo?
Mbeya nako kuna Tanganyika Packers?

Mi nilijua ni kawe tu.
 
Wakuu Chuo hiki kinajenga wapi College yao ya afya pale Mbeya? Mkuu wao wa chuo, JK aliwaombea eneo la kujenga chuo. Waliomba wajenge viwanja vya Tanganyika packers. Badaaye nasikia wizara ya kilimo walisema lile eneo wana kazi nalo, wanataka kufuga ng'ombe hivyo chuo wakapewa eneo jingine.

Ni wapi huko wamepewa eneo?
Wanaudsm wanashida gani kwani kuelekea ubungo msewe na changanyiken kuna mieneo mikubwa tu ukija upande wa hall six na kanisani kuna mipori na mipor kwann wasijengee humo !?
 
Wanaudsm wanashida gani kwani kuelekea ubungo msewe na changanyiken kuna mieneo mikubwa tu ukija upande wa hall six na kanisani kuna mipori na mipor kwann wasijengee humo !?
Tawi la chuo cha Afya cha UDSM lipo Mbeya na hiyo Tanganyika packers naizungumzia ni ya Mbeya.
 
iko mji wa mbalizi barabara ya kwenda makongolosi kilometer 3-4 toka mbalizi upande wa kulia panakuwa na mnada wa mifugo
 
Back
Top Bottom