Colonial goverments were administratively more effective

Colonial goverments were administratively more effective

simplemind

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2009
Posts
16,418
Reaction score
9,209
Run a robust economy, built railway, delivered health care, and most important provided sound education.
 
Pole sana,utawala wowote usiojari utu wa mtu ni utawala wa kishenzi hata kama ungejenga viwanja vya ndege nchi nzima na kuondoa kabisa kabisa vimelea vya maradhi katikati yetu achilia mbali hizo reli na train za mizigo.
 
Pole sana,utawala wowote usiojari utu wa mtu ni utawala wa kishenzi hata kama ungejenga viwanja vya ndege nchi nzima na kuondoa kabisa kabisa vimelea vya maradhi katikati yetu achilia mbali hizo reli na train za mizigo.
Maelezo hayo uliyoyaweka yanaendana sana na serikali hii ya sasa ambayo imekuwa kwa vitendo haijali utu wa Watanzania, licha ya kauli mbiu ambazo ni kinyume cha hapo.Kiwango cha maendeleo ambacho serikali hii inakipima ni katika vitu badala ya watu.
 
Pole sana,utawala wowote usiojari utu wa mtu ni utawala wa kishenzi hata kama ungejenga viwanja vya ndege nchi nzima na kuondoa kabisa kabisa vimelea vya maradhi katikati yetu achilia mbali hizo reli na train za mizigo.

Hiyo ni sifa kuu ya utawla wa CCM
 
Back
Top Bottom