Colosseum maarufu ya Roma ilijengwa miaka 1940 iliyopita

Colosseum maarufu ya Roma ilijengwa miaka 1940 iliyopita

Superbug

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2018
Posts
13,864
Reaction score
35,079
Ukifika mji mkuu wa italy Rome kuna jengo maarufu liko kama uwanja wa mpira linaitwa colloseum. Jengo hilo lilijengwa AD 70-80 kama miaka 1940 hivi iliyopita.

Maana yake ni kwamba baada ya miaka kama 70 hivi kupita toka yesu kristo kupaa mbinguni. Najiuliza sana wakati haya yanafanyika kule ulaya hapa Afrika tanzania hasa hapa busokelo nilipo palikuwaje na watu wake walikuwaje?
 
Screenshot_20220405-193126.png
 
Wakati huo pia Africa ilikuwa imepiga hatua. pale Egypt ukitazama vitu alivozikwa navyo Mfalme Tutankhanum utaona kwamba miaka 3000 iliyopita (hata yesu hakuwa amekuja duniani) watu wali enjoy
 
Wakati huo pia Africa ilikuwa imepiga hatua. pale Egypt ukitazama vitu alivozikwa navyo Mfalme Tutankhanum utaona kwamba miaka 3000 iliyopita (hata yesu hakuwa amekuja duniani) watu wali enjoy
Nakubaliana nawewe kwa upande wa afrika kaskazini kweli ilikuwa imeendelea nadhani axum ndio kilikuwa chuo kikuu cha kwanza ila kwa huku kwetu afrika ya mashariki hali ilikuwaje?
 
Nakubaliana nawewe kwa upande wa afrika kaskazini kweli ilikuwa imeendelea nadhani axum ndio kilikuwa chuo kikuu cha kwanza ila kwa huku kwetu afrika ya mashariki hali ilikuwaje?
huku sijawahi kukutana na Historia yake sidhani hata kama imeandikwa, Historia ya huku mara nyingi hutajwa ya miaka ya 1800 ambapo Mkwawa alikuwa na jeshi organised
 
Hii kitu ukiangalia kwa kutumia oculus unaweza kufikiri uko ndani na utaona kila kitu in details
 
Nakubaliana nawewe kwa upande wa afrika kaskazini kweli ilikuwa imeendelea nadhani axum ndio kilikuwa chuo kikuu cha kwanza ila kwa huku kwetu afrika ya mashariki hali ilikuwaje?
Kuna Great Zimbabwe ,huku Afrika ya mashariki walikuwa wakiishi jamii za Khoisan ambao bado tekinolojia ilikuwa bado iko chini sana.Zanzibar na ukanda wa pwani walikuwa wamepiga hatua kuliko bara.
 
Hapa tulikua tunatumia almasi kuchezea mdako na bao...
 
Pia filamu ya way of the dragon ya late Bruce Lee kuna vipande vilifanyikia hapo kipande maarufu sana ni kile cha Bruce Lee & Chuck Norris.
 
Back
Top Bottom