Combination ya Outarra na Inonga tunatolewa na Big Bullets

Combination ya Outarra na Inonga tunatolewa na Big Bullets

Wapi uliona mchezaji asiye na udhaifu?
Huo ni udhaifu wa Outara na timu means kubebeana madhaifu ,wewe unataka wachezaji wafanane quality hii haiwezekani
Hata hivyo mimi nashangaa tena sana ni hiyo backline ina cleansheat 3 katika mechi tano ilizocheza kuna mtu kacheza nne ana cleansheat 1 ila bado hasemwi eti ana udhaifu wa beki zake
Washaurini na mashabiki mtulie msiwe vigeugeu Outtara mlimsifu sana na sasa mnapomkosoa tambueni mnaonekana mnatumia haki yenu ya kutoa maoni tu nothing more hakuna timu isiyo na udhaifu ,kazi ya kocha ni kuziba udhaifu huo
 
Wapi uliona mchezaji asiye na udhaifu?
Huo ni udhaifu wa Outara na timu means kubebeana madhaifu ,wewe unataka wachezaji wafanane quality hii haiwezekani
Hata hivyo mimi nashangaa tena sana ni hiyo backline ina cleansheat 3 katika mechi tano ilizocheza kuna mtu kacheza nne ana cleansheat 1 ila bado hasemwi eti ana udhaifu wa beki zake
Washaurini na mashabiki mtulie msiwe vigeugeu Outtara mlimsifu sana na sasa mnapomkosoa tambueni mnaonekana mnatumia haki yenu ya kutoa maoni tu nothing more hakuna timu isiyo na udhaifu ,kazi ya kocha ni kuziba udhaifu huo
Kama umemuelewa mleta mada hajalenga sana clean sheet za ligi ya ndani ambako unakutana na timu zenye safu dhaifu ya ushambiliaji hapa tumewaza kuhusu klabu bingwa zaidi na aina ya beki kama Ouatarra ambaye anaonekana ni mzito kukimbia hata kutake action kwa haraka ni shida
Kocha inaonekana analazimisha kivyovyote huyu jamaa awe chaguo la kwanza lakini kiuwezo hana anachomzidi Onyango labda tu kupiga pasi rula ndio anajua ila kukaba ni mweupe sana
 
Kama umemuelewa mleta mada hajalenga sana clean sheet za ligi ya ndani ambako unakutana na timu zenye safu dhaifu ya ushambiliaji hapa tumewaza kuhusu klabu bingwa zaidi na aina ya beki kama Ouatarra ambaye anaonekana ni mzito kukimbia hata kutake action kwa haraka ni shida
Kocha inaonekana analazimisha kivyovyote huyu jamaa awe chaguo la kwanza lakini kiuwezo hana anachomzidi Onyango labda tu kupiga pasi rula ndio anajua ila kukaba ni mweupe sana
mimi nina concerns na kina big bullets, primero de agosto mtu analeta story za clean sheets za kagera sugar
 
Mkuu uneeleza ukweli mtupu hili hata mimi nimeliona toka ile mechi ya Yanga goli la kwanza la Mayele penetration pass huyu Outara kiukwel zinamshinda kuzuia kifupi one against one sio mzuri kama Onyango, rejea pia goli la kwanza juzi tulilofungwa na Asante Kotoko.
 
Back
Top Bottom