Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Kanjanja kama kawaida yako,anzisha Uzi kabisa.Kihasibu kwetu Simba Sc ni free disposal of unserviceable asset. Hii asset carrying amount yake ilikuwa NIL 0 yaani full depreciated. Hata hatukuwa na muda wa kufanyia revaluation kujua kama kuna hasara au faida.
We just disclose in the report that the NIL value unserviceable asset has been disposed.
Kesha hama itabaki kuwa historiaIla utopolo mnachekesha kweli.
Chama huyuhuyu mliyekuwa mnasema anakimbia kama konokono,
Chama huyuhuyu mliyekuwa mnasema ni Mzee,
Chama huyuhuyu mliyekuwa mnasema anapoza mipira,
Chama huyuhuyu ambae simba wamemfaidi ujana wake halafu uzee mnakuja kula naye ndiye aipeleke Yanga nchi ya asali na maziw,?
Labda! Ngoja nitunze akiba ya maneno.
Unauzungumziaje huu usajili kihasibu/Ila utopolo mnachekesha kweli.
Chama huyuhuyu mliyekuwa mnasema anakimbia kama konokono,
Chama huyuhuyu mliyekuwa mnasema ni Mzee,
Chama huyuhuyu mliyekuwa mnasema anapoza mipira,
Chama huyuhuyu ambae simba wamemfaidi ujana wake halafu uzee mnakuja kula naye ndiye aipeleke Yanga nchi ya asali na maziw,?
Labda! Ngoja nitunze akiba ya maneno.
HahahahahaKihasibu kwetu Simba Sc ni free disposal of unserviceable asset. Hii asset carrying amount yake ilikuwa NIL 0 yaani full depreciated. Hata hatukuwa na muda wa kufanyia revaluation kujua kama kuna hasara au faida.
We just disclose in the report that the NIL value unserviceable asset has been disposed.
Konokono huwezi kumlinganisha na SGR Joshua MutaleHasibu la hovyo kuwahi kutokea tz
Sisi kama wananchi tunatunza komenti yako na ulivyo na bahati mbaya mambo huwa yanakugeuka.Kihasibu kwetu Simba Sc ni free disposal of unserviceable asset. Hii asset carrying amount yake ilikuwa NIL 0 yaani full depreciated. Hata hatukuwa na muda wa kufanyia revaluation kujua kama kuna hasara au faida.
We just disclosed in the report that the NIL value unserviceable asset has been disposed.
Alikuwa ni Non Current Asset held for disposalKihasibu kwetu Simba Sc ni free disposal of unserviceable asset. Hii asset carrying amount yake ilikuwa NIL 0 yaani full depreciated. Hata hatukuwa na muda wa kufanyia revaluation kujua kama kuna hasara au faida.
We just disclosed in the report that the NIL value unserviceable asset has been disposed.
Ndiyo wakome sasa.Ujio wa Chama utaleta mabadiliko makubwa.
Ni Gamondi mwenyewe kuamua atumie mfumo Gani?
Comb ya PCM , pacome, Chama, Max.
Au kihasibu tuseme Yanga tumefuzu Kwa CPA.
CPA Chama Pacome Aziz ki.
Mbumbumbu Kwa combination hii mtakula za kutosha dadek.
Shukran Kwa Eng Hersi Said.
.yanga bingwa tena.
Aaahhh Mwasibu feki OKW CPA uchwara SUNZU BOBAN umeibuka jombi....Kihasibu kwetu Simba Sc ni free disposal of unserviceable asset. Hii asset carrying amount yake ilikuwa NIL 0 yaani full depreciated. Hata hatukuwa na muda wa kufanyia revaluation kujua kama kuna hasara au faida.
We just disclosed in the report that the NIL value unserviceable asset has been disposed.