Combination za wapenzi

Combination za wapenzi

Tofautisha mawe na kokoto
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
*Ukiwa na mawe([emoji385] [emoji385] [emoji385] ) u can buy or afford kila kitu chini ya hili jua
WHILE
*Kokoto zinaweza kukusaidia kwenye ujenzi tu.... Tumeelewana naamini [emoji23] [emoji23]
 
*Ukiwa na mawe([emoji385] [emoji385] [emoji385] ) u can buy or afford kila kitu chini ya hili jua
WHILE
*Kokoto zinaweza kukusaidia kwenye ujenzi tu.... Tumeelewana naamini [emoji23] [emoji23]
We jamaa......
 
Jumapili njema
Nazungumzia aina za wapenzi,maana katika maisha tunatodautiana kwa mambo mengi...twende sasa

1/Sugar mummy & Mario
Penzi la aina hii ni kati ya mwanamke wa makamo na mvulana/mwanaume mwenye umri mdogo mfano 20 yes
Hizi ni baadhi ya sifa zao
*Mwanaume kafata pesa
*Mwanamke anataka mapenzi
*mwanaume hana Saudi
*mwanamke ndo kichwa cha familia
*mwanaume kula kulala

2/Kibabu & kibinti
Penzi hili linavuma sana sababu wanawake wengi wanapenda ndoa na njia za mkato
*mwanamke huwa na kidumu
*mwanaume kichwa cha familia.
*mwanamke hufuata mali
*Penzi hudumu
*mwanaume huheshimiwa

3/Mwanamke mjanja & mwanaume bwege
*Nyumba hupendeza.
*mwanamke msafi
*mwanaume hupelekeshwa
*mwanaume hana sauti
*mwanaume hajui kuvaa/mchafu.
*mwanaume anazidiwa pesa na mkewe
*Penzi lao hutegemea uvumilivu wa mwanaume

4/Mwanaume mjanja & mwanamke zoba
*mwanaume huwa smart
*Nyumba huwa chafu
*mwanaume michepuko kibao
*mwanamke kula kulala.
*mwanaume mtafutaji
*mwanamke hajui hata kuvaa
*Penzi hufa mwanamke anapoanza kushika mkwanja

5/Wenyewe kwa wenyewe
Hawa ni wale wanaofanana rika au tabia au hali zao kiuchumi mfano bwege na bwege..mzee kwa mzee
*Mashindano huwa mengi
*km ni wachafu basi Nyumba hujaa panya
*Km ni wasaka maendeleo basi hufanikiwa sana
*km ni wapenda starehe migogoro haiishi
*mafahari wawili hawaishi zizi moja


Soma pia
.................................................
Jinsi ya kuopoa msichana mzuri
......................................................

Harakati za Pimbi
The Bitoz

8d9f05ea3bfa62edf72b1f606ca3ca65.jpg
b2fcd9ae701b718968fc284e18662daa.jpg
8068694c66fe91d843787538c4c874a0.jpg
ad1ac7427518223e660e00158009143c.jpg
84d211d3dc9baef86a816cc8b43764d0.jpg

be54e0caa2cf8ef24668d35e40f6dbcf.jpg


The Bitoz
Duuuhh bonge la kombinenga!
 
Waporipori njooni mzungumzie comb yenu
 
Back
Top Bottom