Nahitaji combine harvester kwa ajili ya kuvunia mpunga ya aina niliyo itaja hapo juu.Nime ulizia hapa bongo bei yake ni kati ya milioni 75-85 kupitia kwa agent wao na sellers wengine wa mashine za kilimo.Pia nime ona za kichina kwenye mtandao ambazo zina fanana na hizo kwa design,size na muonekano lakini hazipo reliable na pia zina tabia ya kupoteza mpunga mwingi shambani wakti wa mavuno.Budget yangu ni kati ya 50-60 milion,kama mtu una idea itakayo niwezesha kuagiza hiyo mashine toka nje au hata kuipata hapa Tanzania kwa bei nafuu nita shukuru sana.
Mungu awabariki sana.
Kuna jamaa mmoja aliagiza yake kwa 30mil mpaka anaitoa, ni ya kichina inaitwa LIULIN labda uzi-google
LIULIN hazipotezi mpunga kaka, ila tu container lake ni dogo hivyo mpunga kidogo tu ishajaa, so utatakiwa kwenda ku-offload mara kwa mara ambayo ni wastage of time.Asante kwa usahuri wako kaka,nime ziona na zipo cheap lakini tatizo ni reliability yake pia na upatikanaji wa spea ni ishu.Hata zikiwa kazini zina tabia ya kupoteza mpunga wakati wa uvunaji.
LIULIN hazipotezi mpunga kaka, ila tu container lake ni dogo hivyo mpunga kidogo tu ishajaa, so utatakiwa kwenda ku-offload mara kwa mara ambayo ni wastage of time.
Kuna jamaa alikua akiuza la kwake humu cheki na hii labda https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/913023-combine-harvester-mf-87-a.html