ipyax
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 4,247
- 6,578
Nahitaji combine harvester kwa ajili ya kuvunia mpunga ya aina niliyo itaja hapo juu.Nime ulizia hapa bongo bei yake ni kati ya milioni 75-85 kupitia kwa agent wao na sellers wengine wa mashine za kilimo.Pia nime ona za kichina kwenye mtandao ambazo zina fanana na hizo kwa design,size na muonekano lakini hazipo reliable na pia zina tabia ya kupoteza mpunga mwingi shambani wakti wa mavuno.Budget yangu ni kati ya 50-60 milion,kama mtu una idea itakayo niwezesha kuagiza hiyo mashine toka nje au hata kuipata hapa Tanzania kwa bei nafuu nita shukuru sana.
Mungu awabariki sana.
Mungu awabariki sana.