Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Toa Sakho weka Sure Boy1 Manula
2 Djuma
3 Hussein
4 Mwamnyeto
5 Enonga
6 bangala
7 Sakho
8 Feisal
9 Mayele
10 Chama
11 Morrison
Atamuweka nani benchi hapo?Kwamba Aucho hayupo?
Sub: Heritier Ebenezer Makambo.First Eleven
1. Diarra
2. Jumaa Shaban
3. Kibwana Shomari
4. Mwamnyeto
5. Yannick Bangala
6. Khalidi Aucho
7. Jesus Moloko
8. Fei Toto
9. Fiston Mayele
10. .Saido Ntibazonkiza
11. Farid Mussa
Sub
Abutwalib Mshery
Dickson Job
Salum Abubakary
Deus Kaseke
Yasin Mustafa
Mapinduzi Balama
Dickson Ambundo
Zawadi Mauya
Crispin Ngushi
Nimemsahau nani tena......[emoji3578]
Kwa chama hili, mnyama hachomoki kudadek!
Kama Hayupo Aucho Apo Timu Bado Haijakamilika.1 Manula
2 Djuma
3 Hussein
4 Mwamnyeto
5 Enonga
6 bangala
7 Sakho
8 Feisal
9 Mayele
10 Chama
11 Morrison
Iyo 10 Anakaa Feitoto Kisha 8 Aucho Khalid, Chama Kaisha.Atamuweka nani benchi hapo?
Kweli kabisa. Ngoja nimuongeze.Sub: Heritier Ebenezer Makambo.
Aucho hana wakumuweka benchi hapo, Feisal ni mzuri ila kaachwa mbali sana na chama.Iyo 10 Anakaa Feitoto Kisha 8 Aucho Khalid, Chama Kaisha.
Mchezaji wa kawaida sana mzito hana kasi.Kama Hayupo Aucho Apo Timu Bado Haijakamilika.
Feis Salum Goli 5 Assist 3 namba 10 gani anamfikia?Aucho hana wakumuweka benchi hapo, Feisal ni mzuri ila kaachwa mbali sana na chama.
toa maharage chamaAtamuweka nani benchi hapo?
Kacheza mechi ngapi na chama kacheza mechi ngapi?Feis Salum Goli 5 Assist 3 namba 10 gani anamfikia?
Sijaona wa kumuweka bench Saido hapo1 Manula
2 Djuma
3 Hussein
4 Mwamnyeto
5 Enonga
6 bangala
7 Sakho
8 Feisal
9 Mayele
10 Chama
11 Morrison
Kamzidi ndevuHivi Morrison kamzidi nini Saido msimu huu mpaka Saido akae nje kisa Morrison??
Morrison ni muigizaji sio mchezaji,hana hata goli mbiliHivi Morrison kamzidi nini Saido msimu huu mpaka Saido akae nje kisa Morrison??
Zaidi ya kuwa uchochoro kwenye game nyingi sioni kingine anachofanyaHivi anachokifanya kapombe uto hamkijui au