Watu mna moyo. Dj nalimi anakuchekesha?Kuna watu ukisoma mada zao hadi unabaki unajiuliza huyu mtu ana umri gani? Yaani kila anachoandika lazima ucheke.
-Dj Nalimison, huyu bro yaani hua ananichekesha sana hekaheka zake za usanii na kufanyiwa figisu
Juma1967 / ABDALLAH Kichwaz, huyu jamaa ana nyuzi zake na coments zake zavituko kweli. Eti marasto Arusha wavuliwa ubingwa na wazungu, mara Bodaboda wanapasuliwa spika ajili ya Doublekick[emoji28]
Daktari wa meno[emoji28][emoji28]
Stress Challenger /Maghayo jinga sana huyu mtu[emoji28]
Ongezeni wengine
Acha watu waishi kivyao..Watu mna moyo. Dj nalimi anakuchekesha?
Mzee wangu alikuwa anachekeshwa na Onyango na Mwita ila binafsi hawanichekeshiπWatu mna moyo. Dj nalimi anakuchekesha?
Safari ya kubeba kopo na sio box tenaππNimebanwa na mafiii aii tigo linavibrate hayaa pokea ladha ya mavi mbrrrrr mbrrrrr mbrrrrr aii tigo linarindima pata uhondo wa kimba mbrrrrr mbrrrrr mbrrrrr.
Kammoon Nyau wewee
Meku umekula au ulishinda PM ya mshamba_hachekwi ukiomba ushauriBinadamu Mtakatifu sijui atakuwa liniπ€£
Huyo mtu umemwelewa ebu nielewesheawkwardddddd.View attachment 2629386
mshamba_hachekwi tangia lini akawa na ushauri π€£Meku umekula au ulishinda PM ya mshamba_hachekwi ukiomba ushauri
unataka nipigwe ban auπHuyo mtu umemwelewa ebu nieleweshe
Labda akushauri kupiga nyeeee na kokoto kuongeza copulationmshamba_hachekwi tangia lini akawa na ushauri π€£
niko na shawty hapaπmshamba_hachekwi tangia lini akawa na ushauri π€£
πππ Hawakupi mimi mbona ahsubuh nimedamka naounataka nipigwe ban auπ
siwazagi hivyo na nikibanwa na ngwaka naoga maji baridi zinaishaLabda akushauri kupiga nyeeee na kokoto kuongeza copulation
nani huyo kakuonea huruma πNishapata mkuuu ππππππ
πππ Story za vijiwe vya bodabodasiwazagi hivyo na nikibanwa na ngwaka naoga maji baridi zinaisha
kuna watu tunaishi maisha magumu we unakula milo 3 huezi elewa ππππ Story za vijiwe vya bodaboda
πwewe una account nyingi hii ni account yangu na pia naitumia kwenye mambo ya msingi sana.