nobody knows but me
JF-Expert Member
- Oct 5, 2016
- 525
- 362
Hivi mkuu naomba ratiba yake 158 coz mi namfumaga tuu ...cjui ni cku gani na muda gani....msaada mkuuYuko vozuri sana nishakuwa mtumwa wa 158 Dstv daily lzm nikutane nae huko!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mkuu naomba ratiba yake 158 coz mi namfumaga tuu ...cjui ni cku gani na muda gani....msaada mkuuYuko vozuri sana nishakuwa mtumwa wa 158 Dstv daily lzm nikutane nae huko!
And above that, a comedian should mind her/his language. I find Kansiime very uncomedian when she mixes the l's and r's.Terrible!Not to knock her hustle, but I find this chick rather corny and annoying. She recycles jokes, and kill them.
Katarina na Kansiime mbona wapo kwenye masafa tofauti? Kansiime kabobea kwenye kutumia kiingereza hawezi kuomba taa ziwashwe kwa kiswahili, na katarina vivyo hivyo hawezi comedy kwa kiingereza.Lol.....bongo Katarina ndio kiboko....natamani cku nione Katarina na Kansiime jukwaa moja. Tutakufa kwa kucheka. Hawa wadada wapo talented haswaa
Nadhani jamaa anawafananisha kwenye kipaji.Katarina na Kansiime mbona wapo kwenye masafa tofauti? Kansiime kabobea kwenye kutumia kiingereza hawezi kuomba taa ziwashwe kwa kiswahili, na katarina vivyo hivyo hawezi comedy kwa kiingereza.
Katarina lugha sasa, huyu mwenzie yupo level zingine kimataifa sababu ya lugha ya London.Lol.....bongo Katarina ndio kiboko....natamani cku nione Katarina na Kansiime jukwaa moja. Tutakufa kwa kucheka. Hawa wadada wapo talented haswaa
Teacher mpa what? Mpamire ni Mganda pia sio Mkenya, sio mke what?yuko vizuri sana huyu dada! na kenya huwa yupo yule jamaa anajiita teacher mpamire!
Sio hizi za steve nyerere mara sijui makonda alifanyeje! mara harmonize!....,aaaaarghhhhh
ha haaaa haaaaa huwa ananimalizia bando! napenda sana comedy yakeTeacher mpa what? Mpamire ni Mganda pia sio Mkenya, sio mke what?
utumwa huo, kupenda unaanzia kwako kwanzaHuyu Dada yuko vzr sana sio hao wa kibongo pumba maandazi matupu eti stand up comedy ya kibongo
utumwa huo, kupenda unaanzia kwako kwanza
Katarina ht kabla hajachekesha mie huwa nimecheka tayari kiswahili chake ni buradani tosha.Lol.....bongo Katarina ndio kiboko....natamani cku nione Katarina na Kansiime jukwaa moja. Tutakufa kwa kucheka. Hawa wadada wapo talented haswaa
Kinapendwa kizuri, na ndio maana halisi ya ushindani. Kusifia kitu ni kizuri wakati kibovu wala haujengi ma si uzalendo ni unafiki. Wasanii wetu ndio inabidi wachukue changamoto toka kwingineko na wazikabili, kwani hao wasanii tunaowapenda nao si binadamu kama wao? Kwanini wasifanane nao kisanaa?utumwa huo, kupenda unaanzia kwako kwanza
Ana mashabiki kibao tzee kama ulikua hujui.....Angekuwa kama kaka yake jose camelion angepata mashabiki wengi sana bongo lakini hako ka lugha cha mtihani anakotumia si wengi tunaomwelewa
Katarina wa Dar..... DaredaWa Kibongo nao siyo haba, (Katarina wa Karatu).
Halafu kwa asili ni mzuri sana, hana yale makorokoro kama hawaHuyu dada ni bingwa wa kuchekesha, na video zake azichoshi kabisa kuangalia
AhaaaaaaaaaaaahKansiime Anne ulistahili sana jina hilo kwani na mimi nasema ninsiima kwa kunipa raha!