Kulipa ni nini ?
Tatizo kama binadamu tumepoteza muelekeo tunafanya kile ambacho mtu hupendi kufanya.., Mfano kazi ya ualimu inalipa kuliko ule ujira unaopewa (kwa mwalimu kuona mtu aliyemfundisha na amefanikiwa ni priceless)
Daktari sidhani kama ulienda pale ili upate fedha nyingi bali una moyo wa kusaidia na ukifanya hivyo ni priceless
Udaktari naweza kusema ni skill, tofauti na kipaji cha being a comedian huenda hata ukipewa skill usiwe the top comedian hence usipate hata senti na ukaambulia kuzomewa (hence anything done correctly na right marketing itakupatia pesa) comedian unaweza ukatoa kazi moja ukai-multiply kwa watu wengi ila ukiwa daktari huenda ikawa ngumu kufanya diagnosis kwa kutumia bluetooth au wi-fi
All in all to each his/her own....