Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Comedian wa Nigeria Samuel Asubiojo, ambaye ni daktari kwa taaluma amesema Comedy inalipa kuliko udaktari.
Asubiojo ambaye ni maarufu kama Mama Ojo alisomea udaktari wa binaadamu nchini Ukraine mwaka 2012 hadi 2018 lakini hakuwahi kupractice taaluma hiyo tangu hapo.
Kwa sasa anapata hela kwa kupitia video zake za vichekesho anavyotengeneza.
Je, hali ikoje kwa Tanzania, comedy inalipa kuliko taaluma?
Picha: Samuel Asubiojo
Asubiojo ambaye ni maarufu kama Mama Ojo alisomea udaktari wa binaadamu nchini Ukraine mwaka 2012 hadi 2018 lakini hakuwahi kupractice taaluma hiyo tangu hapo.
Kwa sasa anapata hela kwa kupitia video zake za vichekesho anavyotengeneza.
Je, hali ikoje kwa Tanzania, comedy inalipa kuliko taaluma?
Picha: Samuel Asubiojo