Comment uongo unaoujua...tuone unatufungaje kamba

Comment uongo unaoujua...tuone unatufungaje kamba

Umbali kutoka Dar es salaam hadi Kampala ni mara nne ya matairi ya sofa yaliyopinda ukawa mkate wa asubuhi uliotiwa mtama maharage yakaganda kwenye fremu za kemia ikawa ni bunge
 
Mafuriko daraja la tanzanite clouds wamekwama kurusha matangazo, TCRA wamepanic
 
Unaambiwa Chini ya stend ya magufuli kuna andaki limeenda adi Ziwa victoria Lilichimbwa na wakoloni 1890.
 
tutaonana kesho asubuhi mida ya mchana saa saba wakati kigiza kinaingia
 
Inasikitisha sana ndugu Muandishi wa uzi haone tena Michango yetu.
 
Back
Top Bottom