Comment za kuchekesha mitandaoni

Kwenye kipindi hiki cha Corona, Mungu ndiyo amedhihirisha kabisa kuwa Matabibu ( ma-Daktari na wengineo) pamoja na ma-Askari ni watumishi wa Mungu perce kama walivyo Masheikh, Mapadre, Maaskofu, Wachungaji. Tofauti tu ni kwamba hao wa awali vituo vyao vya kazi haviko kwenye Mahekalu, Makanisa au Misikiti
 
[emoji116][emoji116][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…