Comment za kuchekesha mitandaoni

Comment za kuchekesha mitandaoni

[emoji23][emoji23][emoji23]
923de862137d4ea2a03112ead7dc9cfe.jpg
 
*Mume amempigia simu mtalaka wake ataka warudiane*

Mume : Nisamehe naomba turudiane
Mke : Una kikombe hapo?
Mume : No! Kwanini?
Mke : Kachukue kikombe jikoni
Mume : Sawa nishaenda chakua, Sema...
Mke : Kibwage kuanzia juu mpaka chini...
Mume : Eeh! Haya tayari
Mke : Kimevunjika sio!!... Sasa kirudishe kilivokua...
Mume : No, hakijavunjika, nilichukua cha plastic...
Mke : Muone vile!!!.. wewe mwanaume mkorofi sana, haya njoo unichukue[emoji28][emoji28][emoji28]

*MAKOFI KWETU WANAUME POPOTE TULIPO*[emoji122][emoji122][emoji122]
Daah kali io
 
Back
Top Bottom