Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Bila picha hata hatukuelewiWabongo nuksi sana
Wamevamia page ya jada na mibendera yao hahahahaj
Mwingine kampa Jada ubuyu eti amchunge dhidi ya wadangaji hahahah!!!
Hizo hapoWabongo nuksi sana
Wamevamia page ya jada na mibendera yao hahahahaj
Mwingine kampa Jada ubuyu eti amchunge dhidi ya wadangaji hahahah!!!
sasa cha ajabu nini hapo? kama Gate,Obama,Clinton,Bush,Abramovic,Brazil,Kanye,Jigga,50,Rossey,Fat,Shaggy,Beyonce,na wahuni kibao wa Us wameshawahi kutua bongo who is Jadda?Wabongo nuksi sana
Wamevamia page ya jada na mibendera yao hahahahaj
Mwingine kampa Jada ubuyu eti amchunge dhidi ya wadangaji hahahah!!!
dem wa tupacsasa cha ajabu nini hapo? kama Gate,Obama,Clinton,Bush,Abramovic,Brazil,Kanye,Jigga,50,Rossey,Fat,Shaggy,Beyonce,na wahuni kibao wa Us wameshawahi kutua bongo who is Jadda?
Umesahau na mastar wa Philippines wanakujaga Serengeti na Kilimanjaro kimyakimyasasa cha ajabu nini hapo? kama Gate,Obama,Clinton,Bush,Abramovic,Brazil,Kanye,Jigga,50,Rossey,Fat,Shaggy,Beyonce,na wahuni kibao wa Us wameshawahi kutua bongo who is Jadda?
Amekosa adabuAfu kwa sie wzee kuzamia meli kuiita mbuga yetu street imekaaje?
nimemkumbuka Jada katika movie ya Set it off akiwa na Queen Latifah,, bonge moja ya movie Asee,,
Yeah!nimemkumbuka Jada katika movie ya Set it off akiwa na Queen Latifah,, bonge moja ya movie Asee,,
Wabongo nuksi sana
Wamevamia page ya jada na mibendera yao hahahahaj
Mwingine kampa Jada ubuyu eti amchunge dhidi ya wadangaji hahahah!!!
Ile movie imejaa sex scenes zake kibao, labda hata Willy alimkubali baada ya kuona namna Mtoto anavyojituma kwenye ile movie.Kiongozi ulicheki na Jason's lyrics? Kule pia alikimbiza balaa
hiyo sijaichek mkuu ngoja niitafute,,Kiongozi ulicheki na Jason's lyrics? Kule pia alikimbiza balaa