Comments ambazo Ni aghalabu kuziona katika threads

Comments ambazo Ni aghalabu kuziona katika threads

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Ipo michango au maneno maarufu yanayovuma hapa jamiiforum kwa ma great thinker.maneno hayo yanajirudia rudia katika kila post
Ni kama watu wamekariri. Au wameiga na Sasa unaweza kuona kila thread haikosi comment ya namna hio
1.weka picha
2.subiri waje/wanakuja
3 .Basi sawa
4.hahahahah
5. Tafuta kazi ya kufanya
6.shuleni mlikwenda kusomea ujinga
7.shule zimefungwa mnapost ujinga
8.hakuna cha kujadili
9.ulitumia kinga?
10.haya kachukue buku saba zako fasta
11.nafasi za UTEUZI bado ZIPO?
12.be first to reply
13.asante kwa taarifa
14.nimewahi seat ya mbele
15. _____________________
16.______________________
Kama Kuna mengine nimesahau nikumbushe
 
Ipo michango au maneno maarufu yanayovuma hapa jamiiforum kwa ma great thinker.maneno hayo yanajirudia rudia katika kila post
Ni kama watu wamekariri. Au wameiga na Sasa unaweza kuona kila thread haikosi comment ya namna hio
1.weka picha
2.subiri waje/wanakuja
3 .Basi sawa
4.hahahahah
5. Tafuta kazi ya kufanya
6.shuleni mlikwenda kusomea ujinga
7.shule zimefungwa mnapost ujinga
8.hakuna cha kujadili
9.ulitumia kinga?
10.haya kachukue buku saba zako fasta
11.nafasi za UTEUZI bado ZIPO?
12.be first to reply
13.asante kwa taarifa
14.nimewahi seat ya mbele
15. _____________________
16.______________________
Kama Kuna mengine nimesahau nikumbushe
Noted!!
 
Ipo michango au maneno maarufu yanayovuma hapa jamiiforum kwa ma great thinker.maneno hayo yanajirudia rudia katika kila post
Ni kama watu wamekariri. Au wameiga na Sasa unaweza kuona kila thread haikosi comment ya namna hio
1.weka picha
2.subiri waje/wanakuja
3 .Basi sawa
4.hahahahah
5. Tafuta kazi ya kufanya
6.shuleni mlikwenda kusomea ujinga
7.shule zimefungwa mnapost ujinga
8.hakuna cha kujadili
9.ulitumia kinga?
10.haya kachukue buku saba zako fasta
11.nafasi za UTEUZI bado ZIPO?
12.be first to reply
13.asante kwa taarifa
14.nimewahi seat ya mbele
15. _____________________
16.______________________
Kama Kuna mengine nimesahau nikumbushe
hahahaaa................
 
1 Mwanaume wa dar
2 Unae chura
3 Hulali wewe
4 Popoma
5 Misukule ya lumumba
6 Kilaza
7 Kibamia
8 Gari langu
9 Nakuja PM
10 Bashite


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Ipo michango au maneno maarufu yanayovuma hapa jamiiforum kwa ma great thinker.maneno hayo yanajirudia rudia katika kila post
Ni kama watu wamekariri. Au wameiga na Sasa unaweza kuona kila thread haikosi comment ya namna hio
1.weka picha
2.subiri waje/wanakuja
3 .Basi sawa
4.hahahahah
5. Tafuta kazi ya kufanya
6.shuleni mlikwenda kusomea ujinga
7.shule zimefungwa mnapost ujinga
8.hakuna cha kujadili
9.ulitumia kinga?
10.haya kachukue buku saba zako fasta
11.nafasi za UTEUZI bado ZIPO?
12.be first to reply
13.asante kwa taarifa
14.nimewahi seat ya mbele
15. _____________________
16.______________________
Kama Kuna mengine nimesahau nikumbushe
15. kila La kheri

16.Aisee
 
Back
Top Bottom