Commission ya biashara ya wakala

1.yupo mfanyakazi au mwenyewe????❓
2.uza sigara na vocha.❌
3.uza pipi na biscuit❌
4. Weka Crdb na nmb wakala✔️💯
5.tafuta ata uwakala mkuu wa airtel money au tigo pesa.❌
6. Uza ata alcohol kama iman inaruhusu❌
7.uza ata vimaji maji na soda.❌
8. Chajisha simu na bet.❌
9.uza makava ya simu,,,bet,,,charger,,,headphone❌
10.soda na vimaji.❌
 
Great thinker
 
Kama kweli unasaka pesa kweli kweli , Hyo biashara hamna , labda kama we ni mstaafu unakula pension mdogo mdogo huku ukipoteza mda kwenye huo uwakala
 
Kama kweli unasaka pesa kweli kweli , Hyo biashara hamna , labda kama we ni mstaafu unakula pension mdogo mdogo huku ukipoteza mda kwenye huo uwakala
Kuna ukweli fulani kwa mbali japo bado sina uhakika
 
Naomba mawazo yako ndugu yangu
 
Mkuu, mm pia nimefanya lkn faida unayoipata Ni faida yangu ya mwezi nikiwa na mtaji wa 1M. Biashara yako inamaanisha yafuatayo.
1. Umeweka hela nyingi kwenye mzunguko mdogo.
2. Mfanyakazi wako hajitumi Sana.. akija mteja akikosa imeisha.

Ningekuwa mm ningefanya yafuatayo;
1. Either ningepunguza mtaji na kuwa na branch nyingine inayojiongeza
2. Ningehangaika na wafanyakazi wangu kupambana nao ili wawe wachakalikaji.. kuwasimamia vizuri na kuwapa motisha... Ukweli hii biashara nzuri na Ina faida lkn tagizo Ni Wizi.

Mwez was pili nimeibiwa mtaji wote akiwepo mfanyakazi na hivo nimepumzika kidogo lkn nitarudi hata nikiwa na laki 3
 
mkubwa wasachi hao vijana wanaoisimamia hiyo biashara yako huenda wanazungusha pesa yako kwenye till zao
Naam kuna huo umafia wa vijana wa kazi kuzungusha hela ya boss kwenye line zao, dah hapa ndio kanakujaga kale kawazo ka CHUMA ULETE
 
Hii biashara usipokuwa care matumizi ya mwezi na commission unayopta ni hasara tupu mmmh
 
Mkuu wapi hiyooo

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Naomba muongozo nataka kuanza hii biashara ya i wakala
 
Uk
hofu pia ni kufanya biashara ambayo haitawapa upenyo watu kujua mzunguko wangu ili nisijekupigwa tukio.

Uwakala mkuu nawezaje kuupata maana kila nikiuliza nakatishwa tamaa
Uko wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…