Commissioner General wa Uhamiaji Dr. Makakala hapigi salute vizuri

Commissioner General wa Uhamiaji Dr. Makakala hapigi salute vizuri

Huyu mama namu admire kweli kweli. Kajitahidi kuibadilisha uhamiaji. Siku hizi passport ni kama huduma nyingine ya kitaifa. Miaka michache passport ilikuwa privilege ya wakubwa na wenye connection huko juu.

Na mapungufu yoooote ya Idara ya Uhamiaji, kazi ya huyu mamam inaonekana.

Tunakuombea sana Dr. Mungu azidi kukupa weledi kuwatumikia wananchi wa taifa hili!
Kaboresha Nini ? Masharti ya kupata passport Ni Yale Yale ya kuanzia miaka ya sitini ya akina Nyerere .Kuleta Sijui barua za mwaliko unakoenda.nk

Mtu unaenda kutafuta fursa unaambiwa leta barua ya mwaliko.Fursa huwa Ina barua ya mwaliko? Imekuwa kitchen party au Harusi?
 
Kaboresha Nini ? Masharti ya kupata passport Ni Yale Yale ya kuanzia miaka ya sitini ya akina Nyerere .Kuleta Sijui barua za mwaliko unakoenda.nk

Mtu unaenda kutafuta fursa unaambiwa leta barua ya mwaliko.Fursa huwa Ina barua ya mwaliko? Imekuwa kitchen party au Harusi?

Mkuu nyinyi si ndo watunga sera wa CCM? ingebidi huu ujumbe uufikishe kwenye vikao vya Chama. Akina Dr. Makakala ni watumishi tuu. mnaweza kuwaajiri au kuwafukuza kadri mpendavyo. Na wao wanafuata maelekezo yenu.
 
Mkuu nyinyi si ndo watunga sera wa CCM? ingebidi huu ujumbe uufikishe kwenye vikao vya Chama. Akina Dr. Makakala ni watumishi tuu. mnaweza kuwaajiri au kuwafukuza kadri mpendavyo. Na wao wanafuata maelekezo yenu.
Wao nii proffessionals wakiona kanuni Fulani haziko sawa wanatakiwa ku initiate changes na kuziwakilisha serikalini kupitia mwanasheria mkuu wa serikali au wazibadilishe .Hawapo pale kufanya kazi Kama robots.Ndio maana ya kuweka wasomi.Vinhinevyo wangeachsa hata darasa la Saba wafanye kazi uhamiaji Kama issue Ni kutanya kazi Kama robot tu
 
Nimekuwa nikimfatilia commander huyo kuhusu upigaji wake wa salute si wa kiwango ukilinganisha na makamanda wakuu wengine. Nimeshindwa kuweka picha yake ya leo alivokuwa Ikulu wakati akishuhudia utiwaji sahihi kati ya serikali yetu na Brick company.
Tatizo yeye au wewe uliemfundisha hiyo kwata ya saluti?
 
Piga salute kama lugola halafu waishia kufanya wizi?! Ya nini?! Kazi ndio kipaumbele. Kwanza uhamiaji ni kama idara tu. Wafikiri wako sawa kama jeshi la polisi, jwtz even jkt ?
 
Kazi yake ni kutii order kwa aliyemteua hayo ya saluti sio tija
 
Kaboresha Nini ? Masharti ya kupata passport Ni Yale Yale ya kuanzia miaka ya sitini ya akina Nyerere .Kuleta Sijui barua za mwaliko unakoenda.nk

Mtu unaenda kutafuta fursa unaambiwa leta barua ya mwaliko.Fursa huwa Ina barua ya mwaliko? Imekuwa kitchen party au Harusi?
Kwani passport ni kitambulisho au Paso ya kusafiria? Halafu yeye sio mtunga sheria. Waambie wabunge wako wapeleke mapendekezo ya kisheria ili passport iwe takwa na haki ya kisheria kila RAIA apewe akizaliwa tu iwe anasafiri au amekaa tu nchini. Niko industry ya utalii watoto kwa maelfu wanaingia na wazazi wao kutalii wengine wakiwa wachanga ila sana passport
 
Nimekuwa nikimfatilia commander huyo kuhusu upigaji wake wa salute si wa kiwango ukilinganisha na makamanda wakuu wengine. Nimeshindwa kuweka picha yake ya leo alivokuwa Ikulu wakati akishuhudia utiwaji sahihi kati ya serikali yetu na Brick company.
Lugola bwana! Bado unatafuta salute ukiwa nje ya ulingo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom