Keen
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 617
- 170
Mara kwa mara nimekuwa nikisikia watu wenye elimu mpaka hata degree holders wakisema kwa mfano: "fulani ni Lecture wa chuo kikuu" au "yule dada amesoma B.Sc. Forest" au "yule kaka ni Archictecture", etc. Nimeleta uzi huu kwa sababu wiki iliyopita nilimsikia Mtangazaji wa kituo kimoja cha TV alikuwa anaendesha kipindi wakati wa kumaliza kipindi akasema "...nilikuwa naye (jina) ambaye ni Lecture wa chuo kikuu cha Dsm,..." Niliona ni bora angeongea maneno yote kwa kiswahili. Where do you position yourself?