MoroGent
Member
- Jan 10, 2018
- 84
- 343
Habari wakuu,
Nimekuwa nqjitahidi kuomba scholarship za nje, master's degree, lakin nakosa toka mwaka juzi. Niliomba Pan African, Korea, na UK.
This time nimeomba Pan African, na kwa wiki hii nipo nipo kwa process nimeshaanza Commonwealth ilitangazwa sept 5 na chevening nayo sept 12.
Mwaka jana nimekosa zote, najitahidi kuomba tena. Offcourse zina challenge kidogo kama essay nyingi, unconditional offer, reference na attachm3nt baadhi plus IELETS.
Kwa wajuzi na wazoefu wa hizi mambo please. Naomba ushauri ili niweze kufanikiwa mwaka huu.
Dodosha nondo hapo Mkuu.
Nimekuwa nqjitahidi kuomba scholarship za nje, master's degree, lakin nakosa toka mwaka juzi. Niliomba Pan African, Korea, na UK.
This time nimeomba Pan African, na kwa wiki hii nipo nipo kwa process nimeshaanza Commonwealth ilitangazwa sept 5 na chevening nayo sept 12.
Mwaka jana nimekosa zote, najitahidi kuomba tena. Offcourse zina challenge kidogo kama essay nyingi, unconditional offer, reference na attachm3nt baadhi plus IELETS.
Kwa wajuzi na wazoefu wa hizi mambo please. Naomba ushauri ili niweze kufanikiwa mwaka huu.
Dodosha nondo hapo Mkuu.