Commonwealth na Chevening Scholarships: Naomba USHAURI, Nilikosa lastly

Commonwealth na Chevening Scholarships: Naomba USHAURI, Nilikosa lastly

Kuna dokta mmoja niliona anazungumzia kuhusu hii scholarship nikasema nim DM ABC za hiyo scholarship mpaka na leo hakuwahi kunijibu, nikajiuliza hiii ni ABC tuu nahitaji je? ningeomba msaada wa fedha ingekuwaje

Tuacheni uchoyo wa maarifa, Dunia hii inamambo mengi hata wakazi wake hawawezi yamaliza..
Nakuelewa, ila usilaumu sana mkuu, huwezi jua alipata changamoto gani.
Uzuri ni kwamba kiukweli ukitaka info specific kuhusu hizi scholarships mbili (commonwealth na cheveneng), zimejaa tele mitandaoni, a lot. Ukiingia youtube now, ukasearch kwenye video 'how to write competitive commonwealth scholarship essays), utapata videos nyingi ambazo hutaweza hata kuzimaliza, na nyingi unakuta walioziandaa ni previous winners wa hizo scholarship, so wana uzoefu wa kutosha. The same for cheveneng.
Moja ya sifa za wengi wanaopata hizi scholarship ni watu ambao wana perserverence... Yaani akitaka jambo lake, akifanya njia ya kwanza ikashindikana, atatafuta njia ya pili, na akishindwa atatafuta ya tatu, ya nne hadi afanikiwe. Mtu mmoja akikunyima maarifa, usikate tamaa ya kutafuta hayo maarifa katika hii dunia ya internet.
Cheki post yangu ya kwanza, nime attach pia kitabu jamaa kachambua namna ya kuandika cheveneng essays moja moja, very detailed, with specific examples and samples.
The Knowledge Seeker
 
Nakuelewa, ila usilaumu sana mkuu, huwezi jua alipata changamoto gani.
Uzuri ni kwamba kiukweli ukitaka info specific kuhusu hizi scholarships mbili (commonwealth na cheveneng), zimejaa tele mitandaoni, a lot. Ukiingia youtube now, ukasearch kwenye video 'how to write competitive commonwealth scholarship essays), utapata videos nyingi ambazo hutaweza hata kuzimaliza, na nyingi unakuta walioziandaa ni previous winners wa hizo scholarship, so wana uzoefu wa kutosha. The same for cheveneng.
Moja ya sifa za wengi wanaopata hizi scholarship ni watu ambao wana perserverence... Yaani akitaka jambo lake, akifanya njia ya kwanza ikashindikana, atatafuta njia ya pili, na akishindwa atatafuta ya tatu, ya nne hadi afanikiwe. Mtu mmoja akikunyima maarifa, usikate tamaa ya kutafuta hayo maarifa katika hii dunia ya internet.
Cheki post yangu ya kwanza, nime attach pia kitabu jamaa kachambua namna ya kuandika cheveneng essays moja moja, very detailed, with specific examples and samples.
The Knowledge Seeker
Mzee hapa wewe ni msaada Kwa wengi
 
Yes ni Genius, maana ni very competitive.[emoji3]
Kwa case ya kuomba admission ni free, isipokuwa wanakupa Conditional offer letter, ukipata confirmation ya scholarship ndo unapewa Unconditional offer, nimeomba vyuo vitatu, nimepewa conditional mbili bado moja tu. Na wanakupa option ya kusubmit mpk june mwakan koz baadhi ya vyuo application zinafunguliwa early na mid October
Admission unaombaje ebu nisaidie?

Ww ulifanya IELTS?
 
Admission unaombaje ebu nisaidie?

Ww ulifanya IELTS?
Admission unaomba chuoni direct mdada...! Kwenye website ya Cheveneng wameweka vyuo na kozi unazoweza kuomba, so unaomba direct kwenye website za vyuo husika. IELTS sio condition ya kupata scholarship, ila ni condition ya baadhi ya vyuo kupata admission, so kama hutaki kuhangaika na IELTS apply vyuo ambavyo havihitaji IELTS, vipo kadhaa.
happyxxx
 
Admission unaomba chuoni direct mdada...! Kwenye website ya Cheveneng wameweka vyuo na kozi unazoweza kuomba, so unaomba direct kwenye website za vyuo husika. IELTS sio condition ya kupata scholarship, ila ni condition ya baadhi ya vyuo kupata admission, so kama hutaki kuhangaika na IELTS apply vyuo ambavyo havihitaji IELTS, vipo kadhaa.
happyxxx
Nashukuru ubarikiwe ngoja niwe serious nmeshaanza kujaza fomu yao naanza kuandika essay pia
 
Admission unaomba chuoni direct mdada...! Kwenye website ya Cheveneng wameweka vyuo na kozi unazoweza kuomba, so unaomba direct kwenye website za vyuo husika. IELTS sio condition ya kupata scholarship, ila ni condition ya baadhi ya vyuo kupata admission, so kama hutaki kuhangaika na IELTS apply vyuo ambavyo havihitaji IELTS, vipo kadhaa.
happyxxx
Naomba nitajie ivo vyuo without ielts vilivyo kwenye list of Chevening.
 
Naomba nitajie ivo vyuo without ielts vilivyo kwenye list of Chevening.
Mzee ingia kwenye website ya chevening harafu utasearch vyuo kulingana na course yako, na uangalie isiyo hitaji IELTS, tupunguze uvivu
 
Naomba nitajie ivo vyuo without ielts vilivyo kwenye list of Chevening.
Mkuu, you have to do the digging yourself. Kwa sababu vyuo viko vingi sana, na courses zipo nyingi, na requirements ziko tofauti tofauti, sometimes chuo kimoja kina different requirements for different courses.
Ngoja nikupe mfano wa kupata hii info:
Ukienda kwenye web hii hapa chini, ukiingia kuna sehemu itakupa capability ya kutafuta na kuangalia kozi katika field unayotaka je ipo, na inapatikana katika vyuo vipi kwa scholarship ya Cheveneng.
Find a course | Chevening
See the first Screenshot below, what I did is, nimeandika 'Public Health hapo kwenye search functionality ili iniletee vyuo vyote ambavyo naweza kuapply Masters ya Public health kwa scholarship ya Cheveneng:
Screenshot_2023-10-08-18-46-37-436_com.android.chrome.jpg


Kwenye Screenshot ya pili, nimeclick sasa kwenye link ya website ya chuo husika sasa (hiyo link niliyozungushia nyekundu) ili niende sasa nikaone details za hiyo kozi kwa hicho chuo, including admission requirements kama wanataka IELTS, kama application process yao unalipia au ni bure, etc:
IMG_20231008_184720.jpg


Kwenye hii screenshot ya tatu sasa nimeshaingia kwenye website kucheki hizo details, na as you can see kwa hiki chuo wao wanataka IELTS as a condition ya admission:
Screenshot_2023-10-08-18-49-25-068_com.android.chrome.jpg


So, you have to kind of do the same process mkuu, all the information ipo kwa internet, ni wewe tuu. Anzia hapo kwenye link juu niliyotoa ya kuangalizia courses, you will be able to see kozi za your interest zinatolewa na vyuo gani, and then ukienda kwenye hizo link za vyuo specific utapata information ya nini kinatakiwa kwa kila chuo including hizo IELTS, Application fees, etc.

music mimi
 

Attachments

  • IMG_20231008_184720.jpg
    IMG_20231008_184720.jpg
    30.1 KB · Views: 5
Nashukuru ubarikiwe ngoja niwe serious nmeshaanza kujaza fomu yao naanza kuandika essay pia
All the best, everything you need, is there in the internet, ukiitumia internet yako vizuri, nakuhakikishia 100% you are able to complete the application process and submit a very competitive application.
Ukihitaji any assistance, you are welcome nitajitahidi kujibu maswali na kuprovide the required assistance as needed.
 
Mkuu, you have to do the digging yourself. Kwa sababu vyuo viko vingi sana, na courses zipo nyingi, na requirements ziko tofauti tofauti, sometimes chuo kimoja kina different requirements for different courses.
Ngoja nikupe mfano wa kupata hii info:
Ukienda kwenye web hii hapa chini, ukiingia kuna sehemu itakupa capability ya kutafuta na kuangalia kozi katika field unayotaka je ipo, na inapatikana katika vyuo vipi kwa scholarship ya Cheveneng.
Find a course | Chevening
See the first Screenshot below, what I did is, nimeandika 'Public Health hapo kwenye search functionality ili iniletee vyuo vyote ambavyo naweza kuapply Masters ya Public health kwa scholarship ya Cheveneng: View attachment 2775776

Kwenye Screenshot ya pili, nimeclick sasa kwenye link ya website ya chuo husika sasa (hiyo link niliyozungushia nyekundu) ili niende sasa nikaone details za hiyo kozi kwa hicho chuo, including admission requirements kama wanataka IELTS, kama application process yao unalipia au ni bure, etc:
View attachment 2775779

Kwenye hii screenshot ya tatu sasa nimeshaingia kwenye website kucheki hizo details, na as you can see kwa hiki chuo wao wanataka IELTS as a condition ya admission: View attachment 2775781

So, you have to kind of do the same process mkuu, all the information ipo kwa internet, ni wewe tuu. Anzia hapo kwenye link juu niliyotoa ya kuangalizia courses, you will be able to see kozi za your interest zinatolewa na vyuo gani, and then ukienda kwenye hizo link za vyuo specific utapata information ya nini kinatakiwa kwa kila chuo including hizo IELTS, Application fees, etc.

music mimi
Kitufe iko unaweza tafuta course unayotaka ila huwezi pata info kuhusu IELTS au application fee. All in all vyuo vyote UK vinahitaji hiyo cheti ya lugha if didn't know now u know
 
Kitufe iko unaweza tafuta course unayotaka ila huwezi pata info kuhusu IELTS au application fee. All in all vyuo vyote UK vinahitaji hiyo cheti ya lugha if didn't know now u know
Mkuu, tuliza akili aisee. Mimi nimesoma hivyo vyuo vya UK viwili, just for your info, and sijawahi fanya huo mtihani wa IELTS, hata sijui unafananaje. Tuliza kichwa chako, cheki vizuri hizo links, ukishaingia kwenye website ya chuo husika ukienda kwenye 'requirements' you get all the info including hizo za English Language, etc.
music mimi
 
Hakuna chuo kisichoitaji karatasi ya lugha ndio maana mwamba hapo maelezo mengi kachemka kutaja mkapige tu paper British council
Mkuu, tatizo unajidai unajua na wakati hujui, siyo vyuo vyote uingereza wanataka vyeti vya lugha.

Endelea kuwa mbishi .nenda kakomae na mitihani yako .
 
Mkuu, tuliza akili aisee. Mimi nimesoma hivyo vyuo vya UK viwili, just for your info, and sijawahi fanya huo mtihani wa IELTS, hata sijui unafananaje. Tuliza kichwa chako, cheki vizuri hizo links, ukishaingia kwenye website ya chuo husika ukienda kwenye 'requirements' you get all the info including hizo za English Language, etc.
music mimi
Mkuu Bora umwambie labda ataelewa na atataka kujifunza zaidi kuliko kubisha.
 
Mkuu, tatizo unajidai unajua na wakati hujui, siyo vyuo vyote uingereza wanataka vyeti vya lugha.

Endelea kuwa mbishi .nenda kakomae na mitihani yako .

Nasikia kuna free courses za lugha ni kweli??
 
Back
Top Bottom