INSIDER MAN
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 2,005
- 19,579
Hivi hata message za msiba mpaka wakopi na kupaste hii ni aibu sana kwa taifa na wananchi. Hizi tim janja janja zimekua nyingi kama wanaajili watu hawajui ngeli ni aibu kwao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unadhani kuandika Kiingereza cha kwao mchezo? [emoji38]
Kama shuleni ulikua copy paste assignment huwez ona shidaMimi binafsi sioni shida.
Walete sasa kwenye kiswahiliHivi hata message za msiba mpaka wakopi na kupaste hii ni aibu sana kwa taifa na wananchi. Hizi tim janja janja zimekua nyingi kama wanaajili watu hawajui ngeli ni aibu kwao.View attachment 2463420
View attachment 2463421
Toka wako chuo wanadesa, unategemea nini?Hivi hata message za msiba mpaka wakopi na kupaste hii ni aibu sana kwa taifa na wananchi. Hizi tim janja janja zimekua nyingi kama wanaajili watu hawajui ngeli ni aibu kwao.View attachment 2463420
View attachment 2463421
Huyu wa simba kakopi vizuri hajasahau hata nukta.Hivi hata message za msiba mpaka wakopi na kupaste hii ni aibu sana kwa taifa na wananchi. Hizi tim janja janja zimekua nyingi kama wanaajili watu hawajui ngeli ni aibu kwao.View attachment 2463420
View attachment 2463421
Ulitaka watumie maneno gani mapya labda? Maneno ni hayo hayo yanayolenga ujumbe ule ule..complications za nini..nyie ndio wale mnaona kutumia maneno magumu ndio usomi..pathetic!Kama shuleni ulikua copy paste assignment huwez ona shida
Sent from my SM-G950U1 using JamiiForums mobile app