Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mhh Jamani saa wewe na hiyo waturuki = waislamu inaingilianaje na huduma yao...ina maana hutaki watoe huduma ya ndege?Uislam unaingilianaje na professional yake....
Uku ni kufilisika kimawazo jamani...sasa huwezi sema kuwa wanarusha ndege wakiwa wamelewa mpaka uweke uslam..nenda kwenye dini kama vipi.
Hapa iko kazi macho kumchuzi au makengeza?Mimi sina imani na huku 'kujipanga kwao'..Wamejipanga kwa ufadhili wa nani?
Halafu haya mambo ya kuwa na marubani wanarusha ndege wakiwa 'chicha baya' (Tena waturuki = waislamu) nayo yataendelea kuwepo?
Watakuwa wamesha jipanga si bure....tuache kusafiri na pikipiki arusha mpaka dar..
Mkuu Buswelu unaugomvi na Paschal Mayalla, maana huyu alisafiri toka Arusha - Dar na kwenda Dodoma kwa pikipiki!!