Cendy
JF-Expert Member
- Mar 28, 2015
- 1,250
- 2,309
Wakuu za habari zenu kwanza, twende kwenye topic
Nimekua nikifikilia sana kuhusu hili swala na Nina mpango wa kulifanyia research hapo baadae japokuwa kwa akili ya kawaida mtu anaweza akaona ni utani hivi ila issue iko hivi
Nikiamua kuanzisha bima ya chakula kwa jamii hasa nikilenga makundi yanayoishi mazingira ya kazi mfano machinga, wafanyakazi wa maduka mjini nk
Pia niweke packages ya watumishi wa serikali or formal sector
Main objective ni kuhakikisha upatikanaji wa chakula unakuwepo kwa makundi yote
Kimahesabu
Kwa siku iwe 3000
Kwa maana hiyo mtu utakula kwa kikomo cha 3000 or kulingana na packages yako
Na pesa italipwa kwa mwezi or makubaliano ila si chini ya hapo
Kwasababu lengo LA any insurance ni Ku pool resources, itakuwa hivi
Ukipitisha lunch haimanishi utakula usiku
Ukivukisha siku haimanishi utakula siku nyingine
Pia ili tuweze Ku pool resources vizuri lazima waingie at least watu kumi na kuendelea kwa kila kundi
Nb: ni mawazo yangu tu mchango wa mawazo na ukosoaji chanya unahitajika
*nchi yangu ya viwanda*[emoji510] [emoji510] [emoji510] [emoji510] [emoji510] [emoji510]
the great
Nimekua nikifikilia sana kuhusu hili swala na Nina mpango wa kulifanyia research hapo baadae japokuwa kwa akili ya kawaida mtu anaweza akaona ni utani hivi ila issue iko hivi
Nikiamua kuanzisha bima ya chakula kwa jamii hasa nikilenga makundi yanayoishi mazingira ya kazi mfano machinga, wafanyakazi wa maduka mjini nk
Pia niweke packages ya watumishi wa serikali or formal sector
Main objective ni kuhakikisha upatikanaji wa chakula unakuwepo kwa makundi yote
Kimahesabu
Kwa siku iwe 3000
Kwa maana hiyo mtu utakula kwa kikomo cha 3000 or kulingana na packages yako
Na pesa italipwa kwa mwezi or makubaliano ila si chini ya hapo
Kwasababu lengo LA any insurance ni Ku pool resources, itakuwa hivi
Ukipitisha lunch haimanishi utakula usiku
Ukivukisha siku haimanishi utakula siku nyingine
Pia ili tuweze Ku pool resources vizuri lazima waingie at least watu kumi na kuendelea kwa kila kundi
Nb: ni mawazo yangu tu mchango wa mawazo na ukosoaji chanya unahitajika
*nchi yangu ya viwanda*[emoji510] [emoji510] [emoji510] [emoji510] [emoji510] [emoji510]
the great