Comparative analysis: Jomo Kenyatta vs Julius Nyerere

Nyerere na Kenyatta ni watu wawili tofaut
Jomo Kenyatta alikuwa mwana uchumi aliyebobea. Alipata shahada yake ya uchumi kutoka London School of Economics.

Katika kupigana uhuru, mzee Jomo Kenyatta alifungwa na serikali ya wakoloni tangu mwaka 1952-1959 alipoachiwa huru na kukimbilia kwenye milima ya Turkana kujificha kwa muda.

Nyerere alikuwa mwalimu aliyepata elimu yake chuo kikuu cha Makerere na Masters alipata Edinburgh Scotland.

Katika kupigana uhuru Nyerere hakuwahi kufungwa jela akimaliza migogoro kwa mazungumzo

Kuwa mwznauchumi kulimsaidia Kenyatta kuona kukimbiza white settlers nje ya Kenya kungevuruga uchumi cha nchi
 


Napita tuu...
Hapo kuna mmoja alikuwa selfish sana, alichukua sehemu kubwa ya ardhi akaimilikisha familia yake "almost three-quarter of fertile land" kawaachia jangwa tu.

Najivunia kuwa na baba wa taifa J.K Nyerere alikuwa mtu safi sana.
 
Nyerere still is the best kwan S.Africa mbali na uchumi imara lakin lud kwenye Amani bado watu wanauana sana still kuna mitaa ambayo ikifka join mweusi ukatizi na mingine ivoivo km ww mweupe ukatizi lakin angalia Tanzania very peaceful country vilevile nyerere alisaidia nchi nyingi za Africa kupata uhuru wake ata Mandela mwenyewe bado Nyerere aliplay part kuakikisha Mandela anauhangusha utawala wa kabulu.
 
Mafala Wangari Maathai ana Nobel peace prize
Nelson Mandela pia ana Nobel peace prize
Nyerere ako na nini?...nyerere ni sawa na kina kenyatta, Mugabe etc ni vile alikufa mapema
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
Mafala Wangari Maathai ana Nobel peace prize
mtu kuwa na nobel prize ndio kigezo cha kuwa mashuhuri?. mbona unakuwa na mitazamo ya kijinga?.

nikuulize, unawafahamu watu wote duniani wenye hiyo prize.

umashuhuri wa nyerere ni wa kipekee, hauhitaji kuwa boosted na nobel prize.

umshuhuri wake ni mara mbili ya umashuhuri wa mzee jomo kenyatta, mandela na huyo bibi kezee wenyu.

there was a time, the catholic church was in the process of declaring nyerere a saint.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
 
We nani kakuambia Makongoro haja soma angalia CV yako kisha ongea
Mkuu nyerere hakujali wanaye kabisaa
Ona watoto wa mwinyi, kikwete, na wengine , watoto wa nyerere hamna kitu ni mapombe tu ndo wanajua
 
Nyerere alikuwa na kasoro moja tu.Alikuwa anaona anachofikiri yeye ni sahihi hakuna wa kumpinga.Mfano vijiji vya ujamaa watu walihamishwa kwa nguvu 2.Azimio la Arusha.Alitofautiana na Kambona kwa hili baadae likafa infact Kambona alikuwa sahihi. 3.Wazo lake kuwa ili Afrika tuungane tuungane kikanda kwanza.Alitofautiana na Kwameh Nkhuruma yeye aliona mbali kuwa tuungane mara moja maana viongozi wataona vigumu kuachia vinchi vyao alikuwa right.
Ila naye ni binadamu ana nyama na mifupa vikosa hivi havimuondolei mema yake kwa nchi hii Africa kupinga ubeberu.Kikubwa kuliko vyote kutokomeza ukabila.
 
U maarufu wa Mandela ni kule kuwekwa jela miaka 27 kutoka na kusamehe na kuwa raisi wa kwanza kuchaguliwa mweusi kidemokrasia.Mzee wa watu muda mwingi aliutumia akiwa jela haku practice Siasa sana kama kina Nyerere
 
Kikubwa ambacho Kenyata ameshindwa ni kuondoa ubaguzi wa kikabila, ukabila wa Kenya ndio uliomwaga damu sana Kenya na bado Dhambi hii inawatafuna. Kiongozi wa kwanza akishindwa kujenga umoja basi ameligawa taifa. Ni sawa na kule India ubaguzi hauwezi kuishi kwa maana kiongozi wao aliwaambia ukiona muafrika au anapigana na mhindi wewe piga muafrika bila kujali nani anakosa..!

Tukirudi kwa Nyerere, huyu mzee anastahili pongezi kwa kuondoa ubaguzi hasa ukabila nchini.. Lakini pia alipigania uhuru wa nchi nyingine Afrika ili kuhakikisha Africa nzima inakua huru ili iungane kirahisi.. Wakati Nyerere anafanya haya Kenyata yeye alikua anaangalia maslahi ya Kenya pekee.. Na mpaka sasa viongozi wa Kenya kila wanachofanya wanaangalia maslahi ya nchi yao tu, hawafai kushirikiana nao.. Ni karma inawatafuna..!
 
[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kenyatta was an opportunist, he got married four times and one of his wives was a white lady called Edina Clark who I heard contributed a lot on Kenyatta's education abroad
 

you didn't mention the difference btn the two. but rather a briefly historical epoch of Jomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…