Compare & Contrast kutekwa kwa Abdul Nondo Vs Mzee Kibao: Watekaji hawa ni Malaika, wale ni mashetani! Tuwashukuru kwa uhai wa Nondo au tuwalaani?


..hata Tundu Lissu hajahojiwa mpaka leo miaka 7 tangu ashambuliwe.

..Sativa aliyetekwa na kupigwa risasi na Amiri Jeshi Mkuu akachangia matibabu yake naye hapewi ushirikiano na Polisi.

..Mazingira haya yanaleta hisia kwamba genge la watekaji linawashinikiza Polisi wasichunguze, au wasitoe ushirikiano kwa wahanga wa utekaji.
 
Picha zinaonyesha amefungwa PoP kwa hiyo walimvunja mfupa wa mguu Paskali
 
Pascal Mayalla haya matokeo yanayotokea ni sawa na visa vilivyokuwa vinatokea south Africa kipindi chakupigania haki na kudai uhuru, kuna watu, ndugu na marafiki walipoteza maisha ili kizazi cha sasa kiishi katika maisha ya utawala wa sheria ulivyo sasa...
 
Hili la nondo ni igizo au.drama mkulu.anasemaga vijidrama tuu. Watu.waliotekwa ni akina soka. Marehemu Ally Kibao
 
mnufaika mkubwa ni waendesha dola kwa lengo lao maalum. Kuelekeza/kushape siasa ya vyama vingi iweje.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…