Compare & Contrast kutekwa kwa Abdul Nondo Vs Mzee Kibao: Watekaji hawa ni Malaika, wale ni mashetani! Tuwashukuru kwa uhai wa Nondo au tuwalaani?

Compare & Contrast kutekwa kwa Abdul Nondo Vs Mzee Kibao: Watekaji hawa ni Malaika, wale ni mashetani! Tuwashukuru kwa uhai wa Nondo au tuwalaani?

Unakumbuka uvamizi wa vituo vya polisi ulivyokuwa unafanyika? Baadae ikazizima kule Kibiti. Ila pia ilibidi nguvu na akili zitumike kumaliza tatizo.
Ipo siku kama yataendelea, pengine operation kama ile ikabidi kurudi
Wanatengeneza makundi wenyewe itafika wakati watu watakuwa na makundi yao ya kujilinda

Ova
 
Wanabodi

Toka kutekwa kwa Adul Nondo,kiukweli nikikumbuka ya Mzee Kibao,nikawa nasali kimya kimya yasitokee kama yale!。

Leo baada ya kusikiliza mahojiano haya,
View: https://youtu.be/KUV7rhRzJZY?si=Q9r--39T3ecHZSXX
Ndio nimepata faraja na angalau kuweza kuandika kitu。

Kitu cha kwanza ni kuwashukuru watekaji wa Abdul Nondo,kwanza kwa kumwachia zawadi ya uhai!

Niki compare & contrast watekaji hawa wa Abdul Nondo VS wale wa Mzee Kibao, kiukweli。watekaji hawa ni kama malaika fulani,na wale watekaji wa Mzee Kibao ni ibilisi mashetani kabisa!

Japo siungi mkono utekaji wa aina yoyote,
tuwashukuru watekaji hawa kwanza kwa zawadi tuu ya uhai wa Addul Nondo, maana。。。Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Walimpiga piga Nondo kwa virungu lakini hawakumtoa damu,wala kumtengua kiungo chochote!。

Walipomtupa hapo Coco beach,walimfungua kamba,na kumfungua kitambaa cha machoni,
hivyo Nondo aliweza kuamka mwenyewe,kutafuta usafiri wa boda boda na kumfikisha ofisi za ACT。

Ukilinganisha na wale watekaji wengine,watekaji hawa wanapaswa kulaaniwa ama kushukuriwa?。

Hii ina maana mbili
  1. Ama watekaji hawa na watekaji wale ni watekaji wawili tofauti,hawa ni malaika fulani,wale ni mashetani fulani Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
  2. Watekaji ni wale wale,mwanzo walikuwa mashetani,sasa umalaika umewaingia,hivyo sasa utekaji wowote utakaendelea,utakuwa ni utekaji huu wa kimalaika。
  3. Pingu ni silaha,ina serial number, ukiingiza kwenye search engine,inakuletea bar code yake,pingu hiyo iliuzwa wapi na nani aliinunua!
  4. Watekaji pia waliangusha simu,simu, Jeshi letu la polisi litoe full disclosure za mmiliki, hivyo kupata pa kuanzia
  5. Magufuli Stand ina CCTV cameras,mpaka nje,hivyo video za tukio lote zipo,
  6. Eneo lote la Coco Beach lina CCTV cameras,hivyo wataona kila kitu。
  7. Wito kwa vyama vya siasa,tupunguze sensionalism kwenye mambo ya msingi!
  8. Naendelea kusisitiza mambo haya yana chafua public image yetu,hivyo naendelea kuwasisitiza TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
  9. Media tuwe makini sana tusije kujikuta tunatumiwa bila sisi kujijua。
  10. Ule wito wangu huu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe unaendelea!
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali


Kitendo cha DW kumuhoji Nondo kabla ya jeshi la Polisi tayari linaweza kukupa picha kwa kile kinachoendelea. Yaani mtu anatekwa, polisi wanatoa tamko kuwa wanafanya upelelzi, mtekwaji anapatikana aliwa amejeruhiwa, anapelekwa hospital .... two days later police hawajaotkea kumhoji. Mwenye macho haambiwi TAZAMA.

Hii ya "MAAGIZO TOKA JUU" bado inaendelea kufanya kazi Tanzania.
 
Wanabodi

Toka kutekwa kwa Adul Nondo,kiukweli nikikumbuka ya Mzee Kibao,nikawa nasali kimya kimya yasitokee kama yale!。

Leo baada ya kusikiliza mahojiano haya,
View: https://youtu.be/KUV7rhRzJZY?si=Q9r--39T3ecHZSXX
Ndio nimepata faraja na angalau kuweza kuandika kitu。

Kitu cha kwanza ni kuwashukuru watekaji wa Abdul Nondo,kwanza kwa kumwachia zawadi ya uhai!

Niki compare & contrast watekaji hawa wa Abdul Nondo VS wale wa Mzee Kibao, kiukweli。watekaji hawa ni kama malaika fulani,na wale watekaji wa Mzee Kibao ni ibilisi mashetani kabisa!

Japo siungi mkono utekaji wa aina yoyote,
tuwashukuru watekaji hawa kwanza kwa zawadi tuu ya uhai wa Addul Nondo, maana。。。Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Walimpiga piga Nondo kwa virungu lakini hawakumtoa damu,wala kumtengua kiungo chochote!。

Walipomtupa hapo Coco beach,walimfungua kamba,na kumfungua kitambaa cha machoni,
hivyo Nondo aliweza kuamka mwenyewe,kutafuta usafiri wa boda boda na kumfikisha ofisi za ACT。

Ukilinganisha na wale watekaji wengine,watekaji hawa wanapaswa kulaaniwa ama kushukuriwa?。

Hii ina maana mbili
  1. Ama watekaji hawa na watekaji wale ni watekaji wawili tofauti,hawa ni malaika fulani,wale ni mashetani fulani Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
  2. Watekaji ni wale wale,mwanzo walikuwa mashetani,sasa umalaika umewaingia,hivyo sasa utekaji wowote utakaendelea,utakuwa ni utekaji huu wa kimalaika。
  3. Pingu ni silaha,ina serial number, ukiingiza kwenye search engine,inakuletea bar code yake,pingu hiyo iliuzwa wapi na nani aliinunua!
  4. Watekaji pia waliangusha simu,simu, Jeshi letu la polisi litoe full disclosure za mmiliki, hivyo kupata pa kuanzia
  5. Magufuli Stand ina CCTV cameras,mpaka nje,hivyo video za tukio lote zipo,
  6. Eneo lote la Coco Beach lina CCTV cameras,hivyo wataona kila kitu。
  7. Wito kwa vyama vya siasa,tupunguze sensionalism kwenye mambo ya msingi!
  8. Naendelea kusisitiza mambo haya yana chafua public image yetu,hivyo naendelea kuwasisitiza TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
  9. Media tuwe makini sana tusije kujikuta tunatumiwa bila sisi kujijua。
  10. Ule wito wangu huu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe unaendelea!
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Haya mambo hayapaswi kufumbiwa macho tunatakiwa kuyalaani kwa nguvu zote haiwezekani serikali ikawa inateka na kuumiza wananchi wake nashangaa viongozi wa dini wamekaa kimya tu sasa huko kwenye nyumba za Ibadan mnahubiri nini ikiwa hao waumini wenu wanatekwa, kupigwa na kuuwawa?
 
Bora umeliona hili sasa hivi wanaanza kushindanisha waliotekwa .. huyu hakutoa Damu yule alitoa Damu huyu hakufa yule alikufa .. jambo muhimu ilikua ni kuanza kuhoji safari ya Abdul Nondo kutoka kigoma Hadi Dar ni wapi aliwapa taarifa yupo Katika Gari na amefika stand ya magufuli walijuaje yupo safarini anakuja Dar. Haya mambo yangeanzia hapo kwanza ..

Haiwezekani from nowhere eti Gari ipo stand ya magufuli inamsubiria Nondo, mara tunakupiga sababu unakimdomo mdomo

Msemaji wa Kambi ya Vijana ACT wazalendo anatoka kigoma Hadi Dar kwa basi kweli?
Mkuu inawezekana alikuwa amepanda naye kwenye basi. Hata wa Mzee Kibao alipokamilisha zoezi lake alishuka.
 

Attachments

  • 1717560598094.jpg
    1717560598094.jpg
    223.3 KB · Views: 6
b
Hivi nani ananufaika na huu utekaji? Na kwanini unafanyika mchana kweupe bila vyombo husika kuwakamata watekaji?
Inawezekana ni majini hayaonekani. Yanapewa training huko kuzimu.
Hii inanikumbusha miaka ile ambayo utekaji/uuaji wa polisi vituoni na sehemu nyingine za kazi ulivyokuwa unafanyika. IYale yakazaa Kibiti, ambayo ilizimwa kwa nguvu zote baada ya utawala kubadilika
bato nyoso ba
mokili bazali bana
banzambe pona
nini tobomana??
 
Kitendo cha DW kumuhoji Nondo kabla ya jeshi la Polisi tayari linaweza kukupa picha kwa kile kinachoendelea. Yaani mtu anatekwa, polisi wanatoa tamko kuwa wanafanya upelelzi, mtekwaji anapatikana aliwa amejeruhiwa, anapelekwa hospital .... two days later police hawajaotkea kumhoji. Mwenye macho haambiwi TAZAMA.

Hii ya "MAAGIZO TOKA JUU" bado inaendelea kufanya kazi Tanzania.
Kabisa

Ova
 
Wanabodi

Toka kutekwa kwa Adul Nondo,kiukweli nikikumbuka ya Mzee Kibao,nikawa nasali kimya kimya yasitokee kama yale!。

Leo baada ya kusikiliza mahojiano haya,
View: https://youtu.be/KUV7rhRzJZY?si=Q9r--39T3ecHZSXX
Ndio nimepata faraja na angalau kuweza kuandika kitu。

Kitu cha kwanza ni kuwashukuru watekaji wa Abdul Nondo,kwanza kwa kumwachia zawadi ya uhai!

Niki compare & contrast watekaji hawa wa Abdul Nondo VS wale wa Mzee Kibao, kiukweli。watekaji hawa ni kama malaika fulani,na wale watekaji wa Mzee Kibao ni ibilisi mashetani kabisa!

Japo siungi mkono utekaji wa aina yoyote,
tuwashukuru watekaji hawa kwanza kwa zawadi tuu ya uhai wa Addul Nondo, maana。。。Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Walimpiga piga Nondo kwa virungu lakini hawakumtoa damu,wala kumtengua kiungo chochote!。

Walipomtupa hapo Coco beach,walimfungua kamba,na kumfungua kitambaa cha machoni,
hivyo Nondo aliweza kuamka mwenyewe,kutafuta usafiri wa boda boda na kumfikisha ofisi za ACT。

Ukilinganisha na wale watekaji wengine,watekaji hawa wanapaswa kulaaniwa ama kushukuriwa?。

Hii ina maana mbili
  1. Ama watekaji hawa na watekaji wale ni watekaji wawili tofauti,hawa ni malaika fulani,wale ni mashetani fulani Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
  2. Watekaji ni wale wale,mwanzo walikuwa mashetani,sasa umalaika umewaingia,hivyo sasa utekaji wowote utakaendelea,utakuwa ni utekaji huu wa kimalaika。
  3. Pingu ni silaha,ina serial number, ukiingiza kwenye search engine,inakuletea bar code yake,pingu hiyo iliuzwa wapi na nani aliinunua!
  4. Watekaji pia waliangusha simu,simu, Jeshi letu la polisi litoe full disclosure za mmiliki, hivyo kupata pa kuanzia
  5. Magufuli Stand ina CCTV cameras,mpaka nje,hivyo video za tukio lote zipo,
  6. Eneo lote la Coco Beach lina CCTV cameras,hivyo wataona kila kitu。
  7. Wito kwa vyama vya siasa,tupunguze sensionalism kwenye mambo ya msingi!
  8. Naendelea kusisitiza mambo haya yana chafua public image yetu,hivyo naendelea kuwasisitiza TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
  9. Media tuwe makini sana tusije kujikuta tunatumiwa bila sisi kujijua。
  10. Ule wito wangu huu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe unaendelea!
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Mungu wafumbue macho watekaji na waweze kubaini uovu wao na ule wa bwana zao.
 
Mkuu Pascal,
Hii post yako inasikitisha sana.

Hivi inakuwaje mwanasheria tena ambaye Unajua kinachoendelea TZ Unaweza kuandika post yako hivi?

Mnafanyia utani mauaji na utekaji. Kuna siku mtakuja kulipa huu upuuzi mnaotaka kuhamisha jamii.

Serikali ina wajibu wa kuachana na vikundi vinavyoteka na kuua raia
 
Wanabodi,

Toka kutekwa kwa Adul Nondo,kiukweli nikikumbuka ya Mzee Kibao,nikawa nasali kimya kimya yasitokee kama yale

Leo baada ya kusikiliza mahojiano haya,
View: https://youtu.be/KUV7rhRzJZY?si=Q9r--39T3ecHZSXX
Ndio nimepata faraja na angalau kuweza kuandika kitu。

Kitu cha kwanza ni kuwashukuru watekaji wa Abdul Nondo,kwanza kwa kumwachia zawadi ya uhai!

Niki compare & contrast watekaji hawa wa Abdul Nondo VS wale wa Mzee Kibao, kiukweli。watekaji hawa ni kama malaika fulani,na wale watekaji wa Mzee Kibao ni ibilisi mashetani kabisa!

Japo siungi mkono utekaji wa aina yoyote,tuwashukuru watekaji hawa kwanza kwa zawadi tuu ya uhai wa Addul Nondo, maana。。。Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Walimpiga piga Nondo kwa virungu lakini hawakumtoa damu,wala kumtengua kiungo chochote!。

Walipomtupa hapo Coco beach,walimfungua kamba,na kumfungua kitambaa cha machoni,
hivyo Nondo aliweza kuamka mwenyewe,kutafuta usafiri wa boda boda na kumfikisha ofisi za ACT

Ukilinganisha na wale watekaji wengine,watekaji hawa wanapaswa kulaaniwa ama kushukuriwa?

Hii ina maana mbili
  1. Ama watekaji hawa na watekaji wale ni watekaji wawili tofauti,hawa ni malaika fulani,wale ni mashetani fulani Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
  2. Watekaji ni wale wale,mwanzo walikuwa mashetani,wakifanya ushetani sasa roho wa Mungu amewaingia, umalaika umewaingia,wanaendelea na utekaji ila hawamwagi damu, Malaika akijiunga na mashetani, anageuka shetani? Shetani akijiunga na malaika anageuka malaika?!
  3. hivyo sasa utekaji wowote utakaendelea,utakuwa ni utekaji huu wa kimalaika
  4. Pingu ni silaha,ina serial number, ukiingiza kwenye search engine,inakuletea bar code yake,pingu hiyo iliuzwa wapi na nani aliinunua!
  5. Watekaji pia waliangusha simu,simu ina kila kitu hadi biometric data, Jeshi letu la polisi litoe full disclosure za mmiliki,call log na GPS track, kumfuatilia Abdul, hivyo kupata pa kuanzia na wahusika wote, mkiona mpaka leo polisi wako kimya sisi waelewa tumeisha elewa!
  6. Magufuli Stand ina CCTV cameras,mpaka nje,hivyo video za tukio lote zipo,
  7. Eneo lote la Coco Beach lina CCTV cameras,hivyo wataona kila kitu。
  8. Wito kwa vyama vya siasa,tupunguze sensionalism kwenye mambo ya msingi!
  9. Naendelea kusisitiza mambo haya yanachafua public image yetu,hivyo naendelea kuwasisitiza TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
  10. Media tuwe makini sana tusije kujikuta tunatumiwa bila sisi kujijua。
  11. Ule wito wangu huu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe unaendelea!
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Kuna akili fulani Mungu amekujaalia naturally. Sijui kama unajijua lakini🙏
 
Wanabodi,

Toka kutekwa kwa Adul Nondo,kiukweli nikikumbuka ya Mzee Kibao,nikawa nasali kimya kimya yasitokee kama yale

Leo baada ya kusikiliza mahojiano haya,
View: https://youtu.be/KUV7rhRzJZY?si=Q9r--39T3ecHZSXX
Ndio nimepata faraja na angalau kuweza kuandika kitu。

Kitu cha kwanza ni kuwashukuru watekaji wa Abdul Nondo,kwanza kwa kumwachia zawadi ya uhai!

Niki compare & contrast watekaji hawa wa Abdul Nondo VS wale wa Mzee Kibao, kiukweli。watekaji hawa ni kama malaika fulani,na wale watekaji wa Mzee Kibao ni ibilisi mashetani kabisa!

Japo siungi mkono utekaji wa aina yoyote,tuwashukuru watekaji hawa kwanza kwa zawadi tuu ya uhai wa Addul Nondo, maana。。。Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Walimpiga piga Nondo kwa virungu lakini hawakumtoa damu,wala kumtengua kiungo chochote!。

Walipomtupa hapo Coco beach,walimfungua kamba,na kumfungua kitambaa cha machoni,
hivyo Nondo aliweza kuamka mwenyewe,kutafuta usafiri wa boda boda na kumfikisha ofisi za ACT

Ukilinganisha na wale watekaji wengine,watekaji hawa wanapaswa kulaaniwa ama kushukuriwa?

Hii ina maana mbili
  1. Ama watekaji hawa na watekaji wale ni watekaji wawili tofauti,hawa ni malaika fulani,wale ni mashetani fulani Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
  2. Watekaji ni wale wale,mwanzo walikuwa mashetani,wakifanya ushetani sasa roho wa Mungu amewaingia, umalaika umewaingia,wanaendelea na utekaji ila hawamwagi damu, Malaika akijiunga na mashetani, anageuka shetani? Shetani akijiunga na malaika anageuka malaika?!
  3. hivyo sasa utekaji wowote utakaendelea,utakuwa ni utekaji huu wa kimalaika
  4. Pingu ni silaha,ina serial number, ukiingiza kwenye search engine,inakuletea bar code yake,pingu hiyo iliuzwa wapi na nani aliinunua!
  5. Watekaji pia waliangusha simu,simu ina kila kitu hadi biometric data, Jeshi letu la polisi litoe full disclosure za mmiliki,call log na GPS track, kumfuatilia Abdul, hivyo kupata pa kuanzia na wahusika wote, mkiona mpaka leo polisi wako kimya sisi waelewa tumeisha elewa!
  6. Magufuli Stand ina CCTV cameras,mpaka nje,hivyo video za tukio lote zipo,
  7. Eneo lote la Coco Beach lina CCTV cameras,hivyo wataona kila kitu。
  8. Wito kwa vyama vya siasa,tupunguze sensionalism kwenye mambo ya msingi!
  9. Naendelea kusisitiza mambo haya yanachafua public image yetu,hivyo naendelea kuwasisitiza TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
  10. Media tuwe makini sana tusije kujikuta tunatumiwa bila sisi kujijua。
  11. Ule wito wangu huu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe unaendelea!
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Mlaaniwe watekaji pamoja na mashabiki wenu.
 
Wanabodi,

Toka kutekwa kwa Adul Nondo,kiukweli nikikumbuka ya Mzee Kibao,nikawa nasali kimya kimya yasitokee kama yale

Leo baada ya kusikiliza mahojiano haya,
View: https://youtu.be/KUV7rhRzJZY?si=Q9r--39T3ecHZSXX
Ndio nimepata faraja na angalau kuweza kuandika kitu。

Kitu cha kwanza ni kuwashukuru watekaji wa Abdul Nondo,kwanza kwa kumwachia zawadi ya uhai!

Niki compare & contrast watekaji hawa wa Abdul Nondo VS wale wa Mzee Kibao, kiukweli。watekaji hawa ni kama malaika fulani,na wale watekaji wa Mzee Kibao ni ibilisi mashetani kabisa!

Japo siungi mkono utekaji wa aina yoyote,hata shetani akifanya wema ashukuriwe, hata zimwi likujualo, halikuli likakwisha, sijui ni wangapi humu walikuwa roho juu na hatima ya Nondo, waliposikia yuko hai, roho zimetulia na kusema asante Mungu.

Watekaji ni watu wabaya, ni mashetani, lakini shetani anapomkamata mtu ili anywe damu yake, anapomuachia bila kunywa damu, unamshukuru Mungu kuachiwa salama.
Tuwashukuru hawa watekaji kwa zawadi tuu ya uhai wa Addul Nondo, maana。。。Kama Walioua ni "Wasiojulikana" Then Karma, Albadir Itawahusu, ila kama ni 'Wasiojulikana', Hata Albadir Haisaidii Kitu, Wametimiza Tuu Wajibu Wao!

Walimpiga piga Nondo kwa virungu lakini hawakumtoa damu,wala kumtengua kiungo chochote!。

Walipomtupa hapo Coco beach,walimfungua kamba,na kumfungua kitambaa cha machoni,
hivyo Nondo aliweza kuamka mwenyewe,kutafuta usafiri wa boda boda na kumfikisha ofisi za ACT

Ukilinganisha na wale watekaji wengine,watekaji hawa wanapaswa kulaaniwa ama kushukuriwa?

Hii ina maana mbili
  1. Ama watekaji hawa na watekaji wale ni watekaji wawili tofauti,hawa ni malaika fulani,wale ni mashetani fulani Shambulio la Lissu: Wajue wasiojulikana watakaojulikana na 'Wasiojulikana' ambao kamwe, hawatajulikana
  2. Watekaji ni wale wale,mwanzo walikuwa mashetani,wakifanya ushetani sasa roho wa Mungu amewaingia, umalaika umewaingia,wanaendelea na utekaji ila hawamwagi damu, Malaika akijiunga na mashetani, anageuka shetani? Shetani akijiunga na malaika anageuka malaika?!
  3. hivyo sasa utekaji wowote utakaendelea,utakuwa ni utekaji huu wa kimalaika
  4. Pingu ni silaha,ina serial number, ukiingiza kwenye search engine,inakuletea bar code yake,pingu hiyo iliuzwa wapi na nani aliinunua!
  5. Watekaji pia waliangusha simu,simu ina kila kitu hadi biometric data, Jeshi letu la polisi litoe full disclosure za mmiliki,call log na GPS track, kumfuatilia Abdul, hivyo kupata pa kuanzia na wahusika wote, mkiona mpaka leo polisi wako kimya sisi waelewa tumeisha elewa!
  6. Magufuli Stand ina CCTV cameras,mpaka nje,hivyo video za tukio lote zipo,
  7. Eneo lote la Coco Beach lina CCTV cameras,hivyo wataona kila kitu。
  8. Wito kwa vyama vya siasa,tupunguze sensionalism kwenye mambo ya msingi!
  9. Naendelea kusisitiza mambo haya yanachafua public image yetu,hivyo naendelea kuwasisitiza TISS Ikanushe tuhuma za uvamizi, utekaji, utesaji na mauaji!. Wasijadiliwe na Bunge kwa uwazi bali wachunguzwe, wakithibitika wafumuliwe!
  10. Media tuwe makini sana tusije kujikuta tunatumiwa bila sisi kujijua。
  11. Ule wito wangu huu Wanasheria Waelimisheni Viongozi Wetu Kitu Kinachoitwa "Vicarious Liability", Hata Kama Wewe Hujaua, Kama Muuaji ni Mtu Wako, Then Unawajibika Wewe unaendelea!
Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali


P,
Watekaji ni vikosi maalumu vyenye usalama wa taifa na Polisi. Mbowe alishatoa mpaka majina na watekaji na wako wapi hakuna mtu alijojiwa wala kukana hata alio wataja sana ni cha kushangaza mpaka leo tunajisahaulisha na kuweka kama vile hawafahamiki!

Kama kweli kuna nia tuanze na hawa. Mbowe kawataja kwa majina mpaka rangi zao! eti hatuwajui unafiki na uchawa umefika pabaya. Bila kujua uchawa unaharibu nchi polepole


View: https://youtu.be/ZEAY-mxal7Q?si=kNjgbxH-r_uFmbQU
 
Back
Top Bottom