Comparison. Mishahara ya madaktari Ke vs Madaktari Tanzania

Comparison. Mishahara ya madaktari Ke vs Madaktari Tanzania

In RNA there is OH in carbon number 2. Now show me the Hydrogen atom in carbon number 2 in DNA. The first one is a picture of RNA and the second is a structure of DNA. Observe and then slap yourself very hard.View attachment 1087053View attachment 1087054
Hahahhahahaa bora nicheke tu hivi wewe ni msomi kweli hujuwi H atom ipo wapi kwenye iyo structure kweli?. Siamini kama hujuwi pengine umesahau tu kidogo. Au mmezoea open structure uoneshe H atom zote zilivyojijenga eee?
 
Kwenye uchumi kuna kitu kinaitwa money purchasing power ambacho kinabainisha kuwa, unaweza ukakuta mshara wa Daktari wa Kenya una uwezo wa kununua bidhaa ndani ya soko la Kenya, unazidiwa na ule wa daktari wa Tanzania ndani ya soko la Tanzania. Kwa mfano, mkate Kenya tuseme unaweza kuwa unauzwa KShs 200/= na Tanzania unauzwa TShs 1,500/= Kwa hapa tu unaweza kuona kuwa mkate wa Kenya unagharimu sawa na Tshs 4,000/= za Tanzania. Kwa hiyo kwa kuangalia nominal figures, huwezi ku-rule outright kwamba mshahara mkubwa wa Kenya una maslahi kuliko ule mdogo wa Tanzania, except tu kama huyo anayepata mshahara huo Kenya, atakuwa anaishi Tanzania na kutumia bidhaa za Tanzania. Kama anaishi Tanzania hapo sawa mshahara wake utakuwa una maslahi kuzidi wa mtanzania, lakini kama Daktari wa Tanzania anaishi Tanzania na wa Kenya naye anaishi Kenya, usishangae hiyo mishahara ikawa iko sawa, au hata ule unaouona mdogo, ukawa una purchasing power kubwa kuliko ule mkubwa wa nchi nyingine.

By the way, ulishagundua kuwa kadri currency ya nchi inavyozidi kuwa na thamani ukilinganisha na Dollar, ndivyo kadri bidhaa za nchi hiyo zinavyozidi kuwa expensive and vice-versae? Kwa mfano, Euro inavyozidi ku-appreciate against Dollar ndivyo kadri bidhaa ndani ya soko la EU zinavyozidi kuwa ghali na maisha ya mtu mmoja mmoja kuwa magumu, though uchumi wa EU kwa ujumla unaweza kuwa unazidi kuimarika. Watu wanaoishi kwenye vi-inchi amabvyo currency yake ni dhaifu ukilinganisha na dola, bidhaa zao ziko cheaper, japo macro level (uchumi wa nchi ) ndiyo unakuwa mgogoro. Kwa hiyo at micro-economics level, currency ambayo ni hafifu against Dollar huwa inaashiria bidhaa rahisi ndani ya soko la nchi husika, na uchumi dhaifu wa nchi (marcro-economics level) katika ujumla wake, and the vice-versa is true!
Naelewa what you are saying but gharama ya maisha ya Ke na Tz hazijaachana sana. Na mkate Kenya ni 50ksh(1000tsh).
 
Mfano mwingine rahisi tu ni kuwa, nahisi kama mshahara wa dollar 4000 (swawa na Tshs 8,800,000/=) kwa mtu anayeishi Marekani, unaweza ukawa unazidiwa mara kadhaa na mshahara wa million 4 wa mtu anayeishi Tanzania
Naelewa but difference ya Kenya na Tz si kubwa sana. Ni similar in some way. Kenyan one being slightly higher
 
Naelewa what you are saying but gharama ya maisha ya Ke na Tz hazijaachana sana. Na mkate Kenya ni 50ksh(1000tsh).

Ahaaa haaa haaa
Hizo ni feeling za mtaani. Lete takwimu. Inflation ya TZ ni ngapi na Ke ni ngapi!!
 
T.v. ya LG /Sumsung /Sony inch 32 mnanuziwa sh ngap ya Kenya?
20k to 24k
But cheaper models za china naona unweza pata na 13k
 
Ni sawa tu na uku tofauti ndogo mno
Electronics kama TV, simu etc ni similar Kenya na TZ, ata bei ya magari. Difference labda rent, chakula na locally produced things
 
Electronics kama TV, simu etc ni similar Kenya na TZ, ata bei ya magari. Difference labda rent, chakula na locally produced things
Tuje kwenye bei ya apartment sasa,standard ya 3bedrooms ni bei gani na terms of payment uko ikoje...nyumba iwe kwenye mtaa unaoeleweka sio uswahilini
 
Tuje kwenye bei ya apartment sasa,standard ya 3bedrooms ni bei gani na terms of payment uko ikoje...nyumba iwe kwenye mtaa unaoeleweka sio uswahilini
Naassume ni yenye haiko furnished. ni from 25k to around 40k. Inadepend na area. So say around 30k
 
Ona saivi wachina wameshaanza kumiminika kukagua koloni lao, wakenya mtashaa
Screenshot_20190501-080535_Facebook.jpeg
 
Show us how to calculate inflation rate ndio tujue inflation ya both countries.

Nakuheshimu sana.
Usinilazimishe kuanza kukupa makavu hapa.
Mimi nianze kukokotoa inflation, nini kazi ya national bureau of statistics!!?
 
Apartments inadepend na location. Nyumba zenye ziko katibu na tao tends to be more expensive than others. Na pia zile zenye ziko karibu na facilities like mall. A 3 bedroom apartment in Nairobi is much expensive than that in Mombasa considering the quality to be constant. Apartment in Mombasa also has different price with that in Kisumu, Nakuru, Eldoret etc. Bei za nyumba ziko rahisi in small towns.
Tuje kwenye bei ya apartment sasa,standard ya 3bedrooms ni bei gani na terms of payment uko ikoje...nyumba iwe kwenye mtaa unaoeleweka sio uswahilini
 
Back
Top Bottom