Comparison. Mishahara ya madaktari Ke vs Madaktari Tanzania

Hahahhahahaa bora nicheke tu hivi wewe ni msomi kweli hujuwi H atom ipo wapi kwenye iyo structure kweli?. Siamini kama hujuwi pengine umesahau tu kidogo. Au mmezoea open structure uoneshe H atom zote zilivyojijenga eee?
 
Naelewa what you are saying but gharama ya maisha ya Ke na Tz hazijaachana sana. Na mkate Kenya ni 50ksh(1000tsh).
 
Mfano mwingine rahisi tu ni kuwa, nahisi kama mshahara wa dollar 4000 (swawa na Tshs 8,800,000/=) kwa mtu anayeishi Marekani, unaweza ukawa unazidiwa mara kadhaa na mshahara wa million 4 wa mtu anayeishi Tanzania
Naelewa but difference ya Kenya na Tz si kubwa sana. Ni similar in some way. Kenyan one being slightly higher
 
Naelewa what you are saying but gharama ya maisha ya Ke na Tz hazijaachana sana. Na mkate Kenya ni 50ksh(1000tsh).

Ahaaa haaa haaa
Hizo ni feeling za mtaani. Lete takwimu. Inflation ya TZ ni ngapi na Ke ni ngapi!!
 
Naelewa what you are saying but gharama ya maisha ya Ke na Tz hazijaachana sana. Na mkate Kenya ni 50ksh(1000tsh).
T.v. ya LG /Sumsung /Sony inch 32 mnanuziwa sh ngap ya Kenya?
 
T.v. ya LG /Sumsung /Sony inch 32 mnanuziwa sh ngap ya Kenya?
20k to 24k
But cheaper models za china naona unweza pata na 13k
 
Ni sawa tu na uku tofauti ndogo mno
Electronics kama TV, simu etc ni similar Kenya na TZ, ata bei ya magari. Difference labda rent, chakula na locally produced things
 
Electronics kama TV, simu etc ni similar Kenya na TZ, ata bei ya magari. Difference labda rent, chakula na locally produced things
Tuje kwenye bei ya apartment sasa,standard ya 3bedrooms ni bei gani na terms of payment uko ikoje...nyumba iwe kwenye mtaa unaoeleweka sio uswahilini
 
Tuje kwenye bei ya apartment sasa,standard ya 3bedrooms ni bei gani na terms of payment uko ikoje...nyumba iwe kwenye mtaa unaoeleweka sio uswahilini
Naassume ni yenye haiko furnished. ni from 25k to around 40k. Inadepend na area. So say around 30k
 
Ona saivi wachina wameshaanza kumiminika kukagua koloni lao, wakenya mtashaa
 
Show us how to calculate inflation rate ndio tujue inflation ya both countries.

Nakuheshimu sana.
Usinilazimishe kuanza kukupa makavu hapa.
Mimi nianze kukokotoa inflation, nini kazi ya national bureau of statistics!!?
 
Apartments inadepend na location. Nyumba zenye ziko katibu na tao tends to be more expensive than others. Na pia zile zenye ziko karibu na facilities like mall. A 3 bedroom apartment in Nairobi is much expensive than that in Mombasa considering the quality to be constant. Apartment in Mombasa also has different price with that in Kisumu, Nakuru, Eldoret etc. Bei za nyumba ziko rahisi in small towns.
Tuje kwenye bei ya apartment sasa,standard ya 3bedrooms ni bei gani na terms of payment uko ikoje...nyumba iwe kwenye mtaa unaoeleweka sio uswahilini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…