Comparison. Mishahara ya madaktari Ke vs Madaktari Tanzania

Kawaida mgonjwa wa akili haogopi kitu zaidi ya kunyolewa nywele[emoji16][emoji16][emoji16].

Ningeshangaa wewe.
sioni kinacho kuchekesha hapo, huenda wewe ndio wazimu! lakini sishangai kwani ni kawaida yenyu kuharibu mada baada ya kutolewa kamasi.
 
sioni kinacho kuchekesha hapo, huenda wewe ndio wazimu! lakini sishangai kwani ni kawaida yenyu kuharibu mada baada ya kutolewa kamasi.
Sasa sababu ya ku panick ni nini!!!!get a rope n go hang your neck, itazika municipal.

Ugumu wa maisha umeshashika kichwa[emoji23][emoji23].
 
Sasa sababu ya ku panick ni nini!!!!get a rope n go hang your neck, itazika municipal.

Ugumu wa maisha umeshashika kichwa[emoji23][emoji23].
ugumu wa maisha umekushika wewe hapo ldc. zidi na emoji za maumivu.
 
ugumu wa maisha umekushika wewe hapo ldc. zidi na emoji za maumivu.
Mkopo wa SGR unyimwe wewe, maumivu nipate mimi[emoji16][emoji16][emoji16].

Ndio maana nasema wewe ni kichaa rasmi.
 
Mkopo wa SGR unyimwe wewe, maumivu nipate mimi[emoji16][emoji16][emoji16].

Ndio maana nasema wewe ni kichaa rasmi.
naona wewe ndio kichaa, embu weka proof kuwa mimi nimeomba mkopo wa SGR au wowote ule na nikanyimwa!
 
naona wewe ndio kichaa, embu weka proof kuwa mimi nimeomba mkopo wa SGR au wowote ule na nikanyimwa!
Ok, hauhusiki kwa namna yoyote, si wewe uliye omba.

But u kno what, my friend utaulipa pumbaaavu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ok, hauhusiki kwa namna yoyote, si wewe uliye omba.

But u kno what, my friend utaulipa pumbaaavu[emoji23][emoji23][emoji23]
nilikwambia wewe ni kichwa maji ukabisha, ona sasa......
Kenya niijuavyo haijawahi kusamehewa deni au kushindwa kulipa deni! lakini wewe hapo ldc najua umeshikilia utumbo kwa ngumi maana awamu hii, hakuna kusamehewa deni kama mlivyozoea round hii mtafumuliwa marinda bloody fcukin!
 
Hapa ndio usipime, halafu madaktari wao wachache ukiangalia uwiano wa madaktari kwa idadi ya Watanzania, madaktari wao wanasota mtaani hadi kuna kipindi wangeajiriwa Kenya sema siasa ziliingilia kati.
Jameni umaskini hutesa.
Nakumbuka Ile ripoti ya WB iliosema madaktari wa Tz ni Sawa na nurse wa Kenya Kwa ujuzi!!!!!
 
Tz ni akili kubwa wewe mbuzi hutaki subiri uone, pamoja na kuwa na uwezo wa kuilipa hatulipi mkopo hata mmoja, 2025 utakuwepo ukishuhudia.

Siku zote nyinyi ni wateja watiifu kurudisha pesa, lakini mmenyimwa mkopo mdogo tu, badala la kujitafakari wapi mnakosea, still your here vomiting ugoro. Kimbembe ni kwamba huo wa SGR pamoja na kwamba haijakamilika, wanaume wanataka pesa yao, mtawahonga dada zenu instead sijui, ila mtalipa nyang'au[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Pray for mombasa port[emoji2960][emoji2960][emoji2960]
 
Nakumbuka Ile ripoti ya WB iliosema madaktari wa Tz ni Sawa na nurse wa Kenya Kwa ujuzi!!!!!
Eti eh!!! Na WB wanajuaga kuwatia ujinga[emoji23][emoji23][emoji23].

Mnalegeaaaaa kama paka inakunwa kisogo.
 
Reactions: Oii
mbona unajichanganya?? umesema sisi hurudisha pesa, sasa kuhongana na maombi kwa mombasa port, wapi na wapi?? kunywa maziwa bangi itulize makali kwichwani.
SGR ya Kenya ipo inachapa kazi. 600km na supporting infrastructure zote zipo tayari wewe hapo tu ni kupiga ram
 
Kwa Tanzania [emoji1241] uko sahihi. Am not sure fir Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…