Ukiwasoma wakenya mitandaoni unaweza hisi kenya ni kama Brunei vile!KENYAN Doctors per month
Top earner KSh582,954(Tsh 13,288,054)
Lowest-paid doctor (intern) earn KSh206,989(Tsh 4,718,178)
TANZANIAN Doctors per month
Highest paid doctor Tsh 2,900,114(Ksh 127,003)
Nimekosa ya lowest paid Tz Doctor. But nimeona mahali average ni Tsh1.48 million(Ksh 65,000)
Kwa kifupi intern Kenya analipwa zaidi ya medical director TZ
Anyway feel free to correct me
Kawaaambie World Bank ndo waliosema hivyo, si mimi wala si wakenya ndo walitangaza hivyo 😂Ni sawa mkiwadharau wataalamu wetu wa afya, kwetu ndo hao wanatuhudumia na tunapona magonjwa yetu! Na tunawapenda sana madaktari wetu ambao kwenu ni ma-nurse
What do they have against Tz that they would shame your doctors like that!!!! Na kama World bank ni propaganda tool, CCM ndo tui iteje???For real? World bank report? Wow, i have confirmed, it is a propaganda tool.
ukiwfny watu wako watumwa unaweza kufny chochote kile unaweza ht izidi marekaniBora sana ndio maana Serukali ya Tanzania inaweza kujenga SGR ya umeme kwa pesa zake
Nyie mmeshindwa hata 1km
Waafrika wengi hua hatujui tofauti kati ya Nurse Aide (Licensed practical Nurse -LPN) ambaye hua amesomea certificate ni tofauti na Registered nurse (RN) ambaye amesomea Diploma au Degree.... Yule ambaye anakusaidia kutapika ni nurse aide na si registered nurse by profession. alafu pia waafrica wengi hatujui tofauti kati ya registered Nurse na Doctor. Ukitembelea hospitali za Level 3 au 4 kuja chini i.e clinic, Dispensary, sub-district/ sub-county hospital hua hakuna hata mfanyikazi mmoja ni Doctor by profession, wale wanaofanya diagnosis and treatment hua ni regitered Nurse au clinical officer kwenye level 4 hospital kuja chini lakini waafrika hua tunawaita Daktari kwasababu ameshikilia stethoscope na amevaa koti nyeupee.Nurse hana ujuzi wa kitabibu hata awe amesoma Harvard, hujua zaidi patient cares na kufuata drs order, hawezi diagnose hawafunzwi clinical skills,hawez fanya surgery hata pharmacology yake ni ndogo sana...my fren wewe jikite kwenye mada unazoziweza utaumbuka bure
Ahaaa haaa haaa
Please if you can avail the report.
Again why comparison was with Kenya?
Huu ni uongo halafu wa kitoto
Don't kill the messenger, Worldbank ndo walikagua sector za elimu na afya kwa nchi za Africa na hayo ndo yalikua matokeo...... Madaktari wa Tz walishindwa na ma nurse wa Kenya kwa ku diagnose wa gonjwa kama wana shida gani kulingana na symptoms. Na hata walipofanya correct Diagnosis wali prescribe the wrong treatment/medicine!!!!!Eti eh!!! Na WB wanajuaga kuwatia ujinga[emoji23][emoji23][emoji23].
Mnalegeaaaaa kama paka inakunwa kisogo.
“For the six countries where the SDI was done, the results show that for diagnostic accuracy, Ugandan health providers are second only to Kenya, but performed at par with Tanzania and outperformed countries like Senegal, Nigeria, or Togo,” Wane said.
“Ugandan health providers score better at adhering to guidelines than their Kenyan counterparts,” he said.
The SDI report clearly notes that Ugandan health providers are working in challenging conditions when it comes to the availability of drugs and proper infrastructure especially when compared to Kenya.
Better off in town
The quality of service in the health sector was assessed using indicators such as adherence to clinical guidelines in five tracer conditions and management of maternal and newborn complications. Tracer conditions were defined by the World Health Organization as common health problems for which injections appear to be used often while they are not medically justified.
Three of the tracer conditions were childhood conditions (malaria with anaemia, acute diarrhoea with severe dehydration, and pneumonia), and two were adult conditions (pulmonary tuberculosis and diabetes mellitus).
Two other conditions were included; post-partum haemorrhage, the most common cause of maternal death during birth; and neonatal asphyxia, the most common cause of neonatal death during birth.
The survey which was first done in Kenya in July, 2013 showed that only 56% of Ugandan medics do give accurate diagnosis, compared to 72% in Kenya, and 57% in Tanzania. Uganda service providers performed better than those of Senegal where only 34% of diagnosis is accurate.
Bitter truths about Ugandan doctors, nurses
By Ronald Musoke World Bank responds to ‘incompetent Ugandan doctors’ report On March 21, the Uganda Medical and Dental Practitioners Council disputed a World Bank survey report which measured the competence of Uganda’s health service providers. The Service Delivery Indicators report had noted...www.independent.co.ug
Clinical officer kafunzwa kutibu,Ni midsize medical practitioner, nurse hajafunzwa kazi iyo, kutokana na uhaba nurses hulazimika kusukuma gurudumu ilo lakini hawez kutoa proper dignosis bali huchukua signs and symptoms na direct kwenda kwenye dawa, hivi registered nurse hata ukimpa stethoscope hawez ascultate lungs nakusema kasikia nn au kutofautisha bowel sound nkWaafrika wengi hua hatujui tofauti kati ya Nurse Aide (Licensed practical Nurse -LPN) ambaye hua amesomea certificate ni tofauti na Registered nurse (RN) ambaye amesomea Diploma au Degree.... Yule ambaye anakusaidia kutapika ni nurse aide na si registered nurse by profession. alafu pia waafrica wengi hatujui tofauti kati ya registered Nurse na Doctor. Ukitembelea hospitali za Level 3 au 4 kuja chini i.e clinic, Dispensary, sub-district/ sub-county hospital hua hakuna hata mfanyikazi mmoja ni Doctor by profession, wale wanaofanya diagnosis and treatment hua ni regitered Nurse au clinical officer kwenye level 4 hospital kuja chini lakini waafrika hua tunawaita Daktari kwasababu ameshikilia stethoscope na amevaa koti nyeupee.
Cousin yangu ameoa, bibi yake ni mkubwa wa Sub-district hospital na ako na Diploma ya Nursing kutoka KMTC!
Don't kill the messenger, Worldbank ndo walikagua sector za elimu na afya kwa nchi za Africa na hayo ndo yalikua matokeo...... Madaktari wa Tz walishindwa na ma nurse wa Kenya kwa ku diagnose wa gonjwa kama wana shida gani kulingana na symptoms. Na hata walipofanya correct Diagnosis wali prescribe the wrong treatment/medicine!!!!!
The Service Delivery Indicators (SDI) are sets of health and education indicators that examine teachers’ and health workers’ effort and ability, as well as the availability of key inputs and resources that contribute to the functioning of a school or health facility.
Uganda na Tanzania wako on the same level in capability to fully treat a patient
-----------------------------------
The report says that 42% of Uganda medics cannot accurately diagnose major diseases. The situation is worse in public health centres offering only outpatient services where half of the providers diagnosed none or only one of five tracer conditions.
An estimated 58% of Uganda's medics got the diagnosis accurate, compared to 72% in Kenya, 57% in Tanzania and 34% in Senegal.
Ugandan public providers managed to correctly diagnose only slightly more than half (56%) of the trace conditions. Only 35% of public health providers could correctly diagnose at least four out of five common conditions (like diahoria with dehydration and malaria with anemia).
"Worryingly, public providers followed only one out of five (20%) of the correction actions needed to manage maternal and neonatal complications,? the report states.
Even when providers correctly diagnose a condition there no guarantee the patient will be treated.
"Indeed the correct treatment was rrecommended in only 36%of the cases, reflecting Weak provider knowledge,? says the service Delivery report whose aim the World Bank said, Is to spur accountability.
"Doctors in Uganda performed at about the Same level as Kenyan nurses on both diagnostic accuracy and the capability to provide full treatment, "it adds.
The SDI initiative is a partnership of the World Bank, the African economic research
Consortium and the African Development Bank to track service delivery performance in sub-Saharan Africa over time.
The preliminary report, launched in November last year was based on surveys of about 400 Health facilities and nearly 2500 health providers Country wide.
The researchers assessed quality in the Health sector using two indicators: adherence Clinical guidelines in five tracer conditions and the management of maternal and newborn complications; and diagnostic accuracy in five tracer conditions.
Three of the tracer conditions were child hood conditions (malaria with anaemia acute)
Diarrhoea with severe dehydration and pneumonia), and two were adult conditions (pulmonary tuberculosis and diabetes mellitus).
The other two conditions included post-partum haemorrhage, the most common cause of material death during birth and neonatal asphyxia, which is the most common cause of neonatal death during birth.
Uganda performed better than Kenya on input indicators and adherence to guidelines. However, Kenya health providers were 20% more likely to get the diagnosis right and were twice as likely to correctly manage maternal and neonatal complications.
Health providers in Senegal and Tanzania performed poorly compared to Uganda and Kenya on diagnostic accuracy, adherence to guidelines and input indicators.
Although almost nine out of 10 (88%) providers were able to correctly diagnose pulmonary tuberculosis, nearly half (47%) did not prescribe the correct treatment required.
Malaria and anaemia were the least likely to be correctly diagnosed and less than one in 10 receiving the correct treatment.
"It is particularly worrying that so few health providers were able to even diagnose potentially deadly conditions such as malaria and diarrhoea," the report says.
Health providers in private health facilities were not consistently better than their counter parts in the public sector .Also, there were large differences across different parts of the country, with health providers in northern Uganda being the worst performers.
Uganda medics (48%) were, however, the best in adhering to clinical guidelines, followed by medics in Kenya (44%), Tanzania (34%) and then Senegal (22%).
Ugandan doctors rank low in region - Economic Policy Research Centre
A significant number of Ugandan medics do not give accurate diagnosis, according to a study conducted by the Economic Policy Research Centre (EPRC) and the World Bank. A significant number of Ugandan medics do not give accurate diagnosis, according teprcug.org
pdf ya WB hapo chini
Hata Executive Director wa Uganda health services alitoa sababu hio ambayo nimeelezea kwamba hospitali za chini ya level 3 huko Uganda hazina Doctors ila ni clinical officer na nurses pekee.Clinical officer kafunzwa kutibu,Ni midsize medical practitioner, nurse hajafunzwa kazi iyo, kutokana na uhaba nurses hulazimika kusukuma gurudumu ilo lakini hawez kutoa proper dignosis bali huchukua signs and symptoms na direct kwenda kwenye dawa, hivi registered nurse hata ukimpa stethoscope hawez ascultate lungs nakusema kasikia nn au kutofautisha bowel sound nk
My fren wewe jikite na ujenzi wa SGR huko ndio unaweza nifunza mm huku sio sehemu yako ..
Nurse hata awe wa level ipi hana ujuzi wa kitabibu na sio busara kumpa majukumu hayo
I pity your education f that what's you were taught in school.
We jamaa nurses curriculum yao ni ile ile hawez diagnose acha kua kama robotHata Executive Director wa Uganda health services alitoa sababu hio ambayo nimeelezea kwamba hospitali za chini ya level 3 huko Uganda hazina Doctors ila ni clinical officer na nurses pekee.
Ugandan medics respond
Robinah Karitirimba, the executive director of Uganda national health users /consumers Organisation (UNHCO), disputed the report, saying the study was conducted in the lower health centre 2 and 3s where diagnosis is likely to be poor because there a no doctors.
"There is something missing in the report but of course it raises something important about our health care system because most patients go to the lower health centres," she explained.
Kaitiritimba also disputed the allegation that the quality of Ugandan doctors is lower than that of their Kenyan colleagues. She said the only difference is that Kenya has a strong medical associations and the medics are better motivated.
http://eprcug.org/press-media/press-release/212-ugandan-doctors-rank-low-in-region
Pia Full research analysis ya SDI katika all developing countries iliochapishwa kwa US National Library of Medicine, National Institutes of Health inaelezea zaidi vile Nurse wa Kenya wana uwezo wa ku properly diagnose symtoms na ku prescribe the right treatment kuliko madaktari wa UG,TZ. Hata hapa Kenya, 21% ya hao Nurse wanajua ku diadnose magonjwa kuliko madaktari wa Kenya! Kumaanisha kuna asilimia 21% ya madaktari wa Kenya wanashindwa na ma nurse!
----------------------------------------------------------
The translation of qualifications to knowledge varies across countries. The mean Kenyan nurse is more knowledgeable than 21% of doctors in Kenya, 78% of doctors in Madagascar, 32% in Nigeria, 25% in Tanzania, and 63% in Uganda (fig 2). There are also wide differences across states in India: informal providers in high performing states like Tamil Nadu are more knowledgeable than fully trained doctors in low performing states like Bihar. The link between qualifications (training) and medical knowledge is surprisingly weak. It is therefore wrong to assume that populations with access to a fully trained doctor in Madagascar enjoy better care than populations with access to a fully trained nurse in Kenya. https://www.ncbi.nlm.nih.gov/pmc/articles/PMC5961312/
Hao wa huko kwenu ndo hawawezi fanya lolote, huku kwetu Nurse ndo wana tahiri watoto,diagnose malaria,TB, Cholera na magonjwa mengine kama hayo, na wakishindwa ndo wanakupatia referal uende Level 4 District hospital ukamuone daktari...We jamaa nurses curriculum yao ni ile ile hawez diagnose acha kua kama robot
Izo Ni kazi Za clinical officer bro,nurse Wa kenya ni nurse tu kama Wa sehemu yyte Ile, hata ivyo cardinal signs Za magonjwa ukiyotaja hata medical attendant anaweza kukuambia dx ni nn but deep in hawajui how to reach dx kitabibuHao wa huko kwenu ndo hawawezi fanya lolote, huku kwetu Nurse ndo wana tahiri watoto,diagnose malaria,TB, Cholera na magonjwa mengine kama hayo, na wakishindwa ndo wanakupatia referal uende Level 4 District hospital ukamuone daktari...
Unaweza mudu but ukiwa na mshahara wa Tz utakuwa maskini Kenya. Cost Living ya Kenya iko higher Kenya kuliko Tz lakini the difference is kinda way similar. Lakini kuongea ukweli Tanzanians huwa underpaid. Intern Kenya anaweza afford luxury, k.m intern Kenya anaweza nunua iPhone X na asurvive the whole month na nusu ya mshahara wake lakini Medical Director TZ akununua iPhone X ataumia the whole month"Cost of living" nayo ni tofauti sana kati ya mfanyakazi wa TZ na KE. Mshahara wa TZ huwezi mudu maisha KE kwa sababu ya tofauti za gharama za maisha
Refer https://www.olx.co.ke/houses-apartments-for-rent_c363
mbona usituwekee hayo mapato mengine ya GOT kisha tuhoji? tumeshabaini kuwa tz haiwezi kufadhili miradi kwa kutegemea kodi maanake kodi yenyewe hata haitoshi kugaramia recurrent expenditure.Hivi unadhan mapato ya got ni tra pekee?
Zaidi ya kulipana mishahara nyie nn mmeweza kufanya kwa kodi zenu?mbona usituwekee hayo mapato mengine ya GOT kisha tuhoji? tumeshabaini kuwa tz haiwezi kufadhili miradi kwa kutegemea kodi maanake kodi yenyewe hata haitoshi kugaramia recurrent expenditure.
usibadili mada! swali ni rahisi sana....mapato mengine zaidi ya kodi kwa GoT ni yapi?Zaidi ya kulipana mishahara nyie nn mmeweza kufanya kwa kodi zenu?
Ahaaa haaa haaa
Go to read vectors vs pathogens.
Do you understand anything about Pathogenesis of cholera?I know vectors and I know pathogens as well as their morphology and life cycles. What do you know about them apart from the names?