Compilation, nasaha za JF

FaizaFoxy

Platinum Member
Joined
Apr 13, 2011
Posts
100,246
Reaction score
123,145
Nasaha za JF

Naanza na hizi, mwenye nyingine aendeleze, tujaribu kuweka zile one or two liners:

JF is never boring - The Boss

Ukikutana na Simba au Chui Porini

Bong'oa tu wote mbio kk,

Hakikisha kisigino kinagusa kichogo kwa kutoka nduki

ukikuta na simba au chui..we lia tu.

Ukimuona tu anza kupiga push ups, lazima akimbie.

Hakuna formula mkuu

jifanye umededi. atakuacha

Tahadhari hapo nikuhakikisha miguu yako haina tatizo lolote la kiufundi manake

Hakikisha unamuakia...shkamooo uncle simba/chui...!baada ya hapo atakuona una nidhamu na kukuacha!!!haya kimbia sasa wahi huko porini tushakupa maujanja....

SIMBA ndiyo unaomba ushauri, mbona huombi ushauri siku ukikutana na MBEYA CITY au YOUNG AFRICANS?

Ujasiri wa kupambana nae

Ongea nae tu...waelewa sana hawa alafu kumbuka we are superior

Tahadhari ya msingi ni kuhakikisha hukutani nao

kama ni askar hakikisha una siraha kila wakati

Hebu tusubiri watu wa wanyamapori na wanaotoka kusini huko ndio michezo yao hii

Nakuhakikishia ukikutana nae ghafla face to face yule mnyama atakuua tu hata akikupa nafasi ya kujitetea, mana hata ukijitetea yule mnyama hajui kiswahili. Labda utembee na bastola yenye risasi za kutosha muda wote.

mkonyeze atakuonea aibu!

Mmh..hivi kuna ujanja kweli? Unless kazi yako iwe inakukutanisha nao mara kwa mara ndio hizo mbinu zitatumika. Hasa sina hili wala lile simba/chui huyu hapa!....Sina hata uhakika nitafanya nini....

Simba na chui hawali nyama ya binadamu sasa wewe una wasiwasi gani

Simba dawa yake kumkojolea...chui kumtekenya


tembea na kiberiti,,,,,pia hakikisha nguo zako zananuka petrol ili ukiiona simba au chui jipige kiberit....mwisho wa maneno....swali je ukikutana na chatu?

we chukua nguo kisha washa moto nasikia huwa wanatoka nduk cha muhimu ni kutembea na all sources of fire

Hivi mmeshamuelekeza namna ya kujilinda na nyegere.......au mbuni.....?....porini kubaya jamani........

Nishasikiaga habari za huyu nyegere kwamba ukiwa porini ukimtaja tu huyoo..tena wakaenda mbali zaidi wakadai wanapenda zaidi "HASHUA"..kwamba wanazinyofoa.


kinyesi utakachojinyea ujipake ile harufu hawatakusogelea

wAAQqqCaeS

assessments eee as EARDa AAÀ setae a

assessments AWqAtQARRRwRRQvwAtaArqqAqQSZAWWAgqaCeee as EARDa AAÀ setae aQ

never turn your back on them, simba na chui, pure born killerz, lyk any other killerz wit conscience, they cant kill whle lookin at ur eyes. ni binadam pekee mwenye uwezo wa kuua huku anakuangalia

assessments AWqAtQARRRFÀEeswRRQrAy€€|`£sssd‘6vwAtaArqqAqQSZAWWAgqaCeee as EARDa AAÀ setae aQWaQAQqwAQaQQA

Hicho kimnyama kisenge kweli...

in short kaa kimya usipige kelele atapita tu hata kama ana njaa pia usimwangalie sana,mcheki kwa machale tu

Vua nguo zote ukae uchi wa mnyama

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Ni jambo jepesi sana. Ukikutana na wanyama hao mnyooshee mikono juu MOLA wako kwa maombi ya sekunde za mwisho za kuishi duniani ili usisikie maumivu wakiingiza meno yao kwenye mwili wako.

Na hizi ni nasaha za kwenye signatures za JF:

"Makalio ya sufuria hayaogopi moto" - Ndibalema

shuka halina mfuko -
Washawasha

There are things in life that are very difficult to explain.... The Boss
,,,,,,,,Jisachi - KakaJambazi

Sio Kila Mchina anauza Dawa za Makalio,wengine wajenzi wa barabara...WATCH OUT - Smile

"Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU" - watu8

ukiona ndoto zako hazijatimia endelea kulala!!! - Mndengereko

"Bunduki bila risasi yaua namna gani" - Kaizer

#Usione Niko Kimya Nasubiri Uropoke# - A-town

'YOUR MIND BELONGS TO YOU,DON'T LET DEVIL USE IT AS TRASHCAN' - REMSA


Na walipoulizwa kuhusu "cheating" baadhi ya majibu yakawa hivi:


ayaa sa haya ndio maswali gani.....

wengine wachumba zetu wako hum hum ukijibu tu

PM inaingia hapo hapo kuwa tusijuane...Sim wala haitumii

Nimewahi, maisha yanasonga

Ni ngumu kumesa,wale wenye fake ID tu tena unknown watasema ukweli.

Sijawahi na sitowahi!!

Ngumu kumeza.

never ever

:car: :car: Napita tu!!!!

Mara kibao tu na sijui kama ntaacha. K zimezidi kuwa tamu, warembo wamegoma kusema no sasa mi nifanyeje?

sijawhi kumsaliti mpenzi wangu

Natamani nione nilivyokwisha salitiwa; nitarudi

Maswali gani sasa hayaa ebo!!!

napita ..

tuanze na wewe...

Usaliti upi sasa wewe dogo usaliti kijumla au na mtu wa karibu? usaliti kijumla mbona ndio maisha ya kawaida tunayoishi wanadamu wa leo au wewe uko dunia gani aisee

Sijawahi na hakuna sababu itakayonifanya nimsaliti.

sitarajii kumfanyia usaliti.

those are secrets people take to the grave

Mmepewa bure, toeni bure.. Period!!!!! :amen:

Nalog in.


ctaki kuachika mie

Sijawahi kusaliti wakati tunaelewana,vurugu vikishaanza namtafuta wa mwingine
 
Na hizi ni nasaha za kwenye signatures za JF:

"Makalio ya sufuria hayaogopi moto" - Ndibalema

shuka halina mfuko -
Washawasha

There are things in life that are very difficult to explain.... The Boss

,,,,,,,,Jisachi - KakaJambazi

Sio Kila Mchina anauza Dawa za Makalio,wengine wajenzi wa barabara...WATCH OUT - Smile

"Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU" - watu8

ukiona ndoto zako hazijatimia endelea kulala!!! - Mndengereko

"Bunduki bila risasi yaua namna gani" - Kaizer

#Usione Niko Kimya Nasubiri Uropoke# - A-town

 

"kuitetea CCM inahitaji uwe na akili ya maiti"
 

kweli ulijituma bi dada
 
Du hii kiboko,majibu mwanzo mwisho vituko,kweli JF stress fee'
 
:A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2: faizafoxy
 
Nimegundua kupitia thread
hii kuwa kuwa kinacholeta mafarakano na magomvi kwa members wa Jf ni
Jukwaa la Siasa na la Dini- by
PakaJimmy.

tunaweza kutofautiana kiimani na kiitikadi za kisiasa lakini mioyoni mwetu sisi sote ni WATANZANIA.!
mara nyingi huwa tunapitiwa na kusahau hili jambo.!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…