Compilation ya Wahenga tu: Kila mwenye picha ya Mhenga aiweke hapa

Compilation ya Wahenga tu: Kila mwenye picha ya Mhenga aiweke hapa

Hahahahahahaa

Sent from my EVA-L19 using JamiiForums mobile app
 
Picsart2017-12-7--00-26-20.png
Picsart2017-12-7--00-26-20.png
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Huyu bibie ni muhenga wa kulilia uzungu ukubwani, tofauti na alivyokuwa miaka ya nyuma.
ca59059af9a5cc166ad2ee7f5bc5ae21.jpg


Zamani alikuwa hivi:
mama-diamond.jpg
 
Hii yote ni kwa sababu Taifa limekuwa la hovyo hovyo,na watu wake kushabikia mambo ya hovyo ilhali tukiacha ku'deal na masuala mazito ya Taifa letu.

Kutrend kwa suala hili kwangu kuna tafsiri mbili moja ni ama Taifa lina watoto wengi ama lenye watu waliojawa na utoto mwingi, na pili ni unafiki na kutojishughulisha na masuala nyeti ya kitaifa,badala yake tunashabikia mambo ya kipuuzi yasio na tija kwa Taifa
Mkuu Ni mhenga yupi aliyesema haya maneno?
 
Hii yote ni kwa sababu Taifa limekuwa la hovyo hovyo,na watu wake kushabikia mambo ya hovyo ilhali tukiacha ku'deal na masuala mazito ya Taifa letu.

Kutrend kwa suala hili kwangu kuna tafsiri mbili moja ni ama Taifa lina watoto wengi ama lenye watu waliojawa na utoto mwingi, na pili ni unafiki na kutojishughulisha na masuala nyeti ya kitaifa,badala yake tunashabikia mambo ya kipuuzi yasio na tija kwa Taifa
Tudeal na jambo gani mkuu!
Jambo wanalotaka tudeal nalo ni kuwasifia na kuwapongeza!
Sasa hiyo inahusu?
 
Back
Top Bottom