Wahenga waliosema "Usiku mmoja hauozeshi Nyama"
Sent From Samsung S9 edge using JamiiForum mobile app
Sio huyu kweliweka na yule muhenga aliye sema ukimuiga tembo kunya utapasuka ****
*****,huyu ni mhenga aliyesema kipya kinyemi ingawa kidonda
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sijui huyu alisemaje
Popoo mbili zavuka mto[emoji23][emoji23]
Abunuwas alikuwa ni Mwarabu acha urongo wa kulazimisha...
So sad
Nisaidie picha za wahenga waleKwa leo niishie hapa
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
Katika wahenga walionacha hoi ni hawa wahenga wachanga kabisa... Waliodai kuwa kitu kikienda kwa mganga hakirudi tena[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app