Compilation ya Wahenga tu: Kila mwenye picha ya Mhenga aiweke hapa

Compilation ya Wahenga tu: Kila mwenye picha ya Mhenga aiweke hapa

160af6a3f58855c1a85180c0cff09519.jpg
 
Kwani huyu sio mhenga aliyesema "kama umekula fedha za uma zitakutokea mahali popote penye tundu"?
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Daah! Hakika mungu anaijua vilivyo mioyo ya watanzania kwa sasa....huu uzi ni BONGE la stress remover.
Mshukuruni mungu kujibu maombi yenu.
 
wacha turelaxView attachment 540143 taifa linaongozwa na bashite na magu wao ndo wanamaamuzi ya kila kitu kila wakiamka wanasema hili na lile

ww ndo mpuuzi zaidi........................ kwa taifa hili lilivyo bora kupuuza kila jambo uongeze siku za maisha yako maana muda huu hakuna linaloeleweka
maisha magumu
kazi hakuna
pesa hakuna
na kucheka pia kuwe hakuna ......

ww uliye serious hebu tuambie tangu asubuhi umefanya jambo gani zaidi ya kuamka na mihasira yako kutuletea huku ...................
nenda magogoni kawasaidie na hayo mambo unayoyaita nyeti by the way JF kuna nyuzi nyingi majukwaa ya kutosha.kakuita nani humu kama na ww si mpuuz pia?

Aisee....
Pole kwa "kukukanyaga".
Nilitarajia response ya aina hii kutoka kwa watu wa aina yako....sijashangaa !!
 
Wahenga wa "age is just a number"

3ff67dd930eae2acb3a983c5723830ca.jpg


Sent from my 1201 using JamiiForums mobile app
Hahahaaa...!!

Muhenga huyu hana tofauti na yule aliyesema, PONDA MALI, KUFA KWAJA....! Mzee Mengi baada ya Kuchumia Juani....sasa analia KIVULINI...[emoji120] [emoji120]

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Kwani huyu sio mhenga aliyesema "kama umekula fedha za uma zitakutokea mahali popote penye tundu"?
Hii ni PENYE NIA...PANA/KUNA NIA...!!

MKULU.... KAZINI...[emoji115] [emoji115] [emoji115]

Sent from my SM-A500F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom