brave_3
JF-Expert Member
- Jun 9, 2014
- 1,186
- 705
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 539631 jino moja mswaki wa nini
Sent from my SM-G530H using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]View attachment 539631 jino moja mswaki wa nini
Kwani huyu sio mhenga aliyesema "kama umekula fedha za uma zitakutokea mahali popote penye tundu"?![]()
Mhenga aliyesema "chombo cha kuzama hakina usukani"
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Kwani huyu sio mhenga aliyesema "kama umekula fedha za uma zitakutokea mahali popote penye tundu"?
wacha turelaxView attachment 540143 taifa linaongozwa na bashite na magu wao ndo wanamaamuzi ya kila kitu kila wakiamka wanasema hili na lile
ww ndo mpuuzi zaidi........................ kwa taifa hili lilivyo bora kupuuza kila jambo uongeze siku za maisha yako maana muda huu hakuna linaloeleweka
maisha magumu
kazi hakuna
pesa hakuna
na kucheka pia kuwe hakuna ......
ww uliye serious hebu tuambie tangu asubuhi umefanya jambo gani zaidi ya kuamka na mihasira yako kutuletea huku ...................
nenda magogoni kawasaidie na hayo mambo unayoyaita nyeti by the way JF kuna nyuzi nyingi majukwaa ya kutosha.kakuita nani humu kama na ww si mpuuz pia?
Achana naye huyo jamaa, Kuna watu humu nawajua ni ma-great thinkers, ila wameamua kuja kurelax kwenye huu uzi, sasa jamaa analeta u-great thinker had kwenye jukwaa tofauti; Afu yuko serious balaaMdogomdogo loh...
![]()
Mhenga aliyesema "chombo cha kuzama hakina usukani"
Hahahaaa...!!Wahenga wa "age is just a number"
![]()
Sent from my 1201 using JamiiForums mobile app
Hii ni PENYE NIA...PANA/KUNA NIA...!!Kwani huyu sio mhenga aliyesema "kama umekula fedha za uma zitakutokea mahali popote penye tundu"?