Compilation ya Wahenga tu: Kila mwenye picha ya Mhenga aiweke hapa

Mzee usichukulie hii mambo serious sana,hapa tunajaribu kupozana machungu ya ccm na kuongeza siku za kuishi.


mshana jr ananielewa, nilikuwa namchemsha tu na si mara ya kwanza. Niliboreka na nilitaka kumchesha ili anirushie makombora yake ya matunguli kisha nije nimuandike hapa, bahati nzuri alinizidi maujanja na kunicheka tu.
 
mshana jr ananielewa, nilikuwa namchemsha tu na si mara ya kwanza. Niliboreka na nilitaka kumchesha ili anirushie makombora yake ya matunguli kisha nije nimuandike hapa, bahati nzuri alinizidi maujanja na kunicheka tu.
[emoji102] [emoji2] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji781]

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Nimekubali, ila nanyi nyote mliotupia hizo picha za wahenga ndio mliosema jungu kuu halikosi ukoko nadhani.

Sent from my HUAWEI Y336-U02 using JamiiForums mobile app
 
Naomba wahenga hawa. Mtaka cha mvunguni sharti ainame. Mtoto wa nyoka ni nyoka.

fail to plan = plan to fail.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…