Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahahahhahahaahahha![]()
Mhenga aliyesema "chombo cha kuzama hakina usukani"
Ayse wahenga mnatisha nipo msibani ila nmecheka mpaka watu wamenishangaa
Huyu jamaa ni baba bora kwa kweliNice one
Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
Ngumu kuielewa![]()
Huyo aliyekaa kifua wazi na kitambaa kichwani alikuwa ndio kwa mara ya kwanza anamwambia huyo mwenye kofia "ukistaajabu ya musa utaona ya firauni"
Uwiii mamaaaa.Mbavu zimeanza kuchomoka mmoja mmoja😉😉😱😀😛![]()
Muhenga aliyesema Haba na haba hujaza kibaba
Na wewe sio mhenga ?Uwiii mamaaaa.Mbavu zimeanza kuchomoka mmoja mmoja😉😉😱😀😛
😀![]()
Mhenga aliesema kidole kimoja hakivunji chawa. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
"Ponda mali kufa kwaja"![]()
Huyu Mhenga ni kaka yake Mshana Jr ila sijui alisema nini miaka hiyo BAPA ndio znaingia