Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumetoka mbali.Wakuu, watu wa zamani maarufu kama 'wahenga' ni watu ambao walikuwa na vimisemo vya hovyo kabisa vilivyoturoga na kutusababishia umaskini mkubwa sana. Tafsiri nzuri ya maneno yao ya mafumbo haikuwa wazi, kila mtu anatafsiri kivyake.
Ni ajabu sana mtu mzima na akili zake kuamini maneno ya wahenga. Karne hii ya kuamini hayo mafumbo ya hovyo miaka mia 2 iliyopita.
"Mgagaa na upwa hali wali mkavu,asiye na mwana aeleke jiwe,zimwi likujualo halikuli likakwisha". Maneno ya ajabu kabisa haya.View attachment 545396View attachment 545397View attachment 545398View attachment 545399View attachment 545400View attachment 545401View attachment 545402View attachment 545403View attachment 545404View attachment 545405View attachment 545406
Weka na picha ya babako pia..
Mtema kuni yuko njia ya panda ya Chato😂😂😂😂😂🤣
Kaka ninakupigia simuAnamsubiri mtu..[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapa corona haioni ndani
![]()
Mhenga aliyasema Uchungu wa Mwana aujuae Mzazi