Complete heart transplant; rethink your faith!

Complete heart transplant; rethink your faith!

Magonjwa mengi yanajulikana chanzo, ndiyo maana wataalamu wanagundua dawa!

Ngoja nikufumbue macho kidogo:

1. Mgonjwa "a" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akapona Saratani.
2. Mgonjwa "b" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akafa kwasababu ya Saratani ya ubongo.
3. Kama dawa ndio inaponya Saratani, KWANINI MGONJWA "b" hakupona baada ya kutibiwa na Doctor "q"?
 
Ngoja nikufumbue macho kidogo:

1. Mgonjwa "a" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akapona Saratani.
2. Mgonjwa "b" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akafa kwasababu ya Saratani ya ubongo.
3. Kama dawa ndio inaponya Saratani, KWANINI MGONJWA "b" hakupona baada ya kutibiwa na Doctor "q"?

Nasubiria hili jibu hapa ........
Ngoja huyu jamaa aje na jibu
Mkuu wa chuo kuna utam hapa Sangarara uko wapi mazee?
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nikufumbue macho kidogo:

1. Mgonjwa "a" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akapona Saratani.
2. Mgonjwa "b" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akafa kwasababu ya Saratani ya ubongo.
3. Kama dawa ndio inaponya Saratani, KWANINI MGONJWA "b" hakupona baada ya kutibiwa na Doctor "q"?

Mgonjwa A katibiwa na Dr X Akapona = LEGIT
Mgonjwa B katibiwa na Mungu akapona = NEVER
 
Mgonjwa A katibiwa na Dr X Akapona = LEGIT
Mgonjwa B katibiwa na Mungu akapona = NEVER

Sijui ni kwanini unafanya mzaha kwenye masuala ambayo mwenzako anakuwa serious

Unajua ni kwanini nimekuambia kuwa unafanya mzaha?
Ni kwasababu hayo "majibu" yako ni ya hovyo sana kiasi kwamba sitaki kuamini kuwa wakati unayaweka hapa ulikuwa serious maana kama ulikuwa serious ni hatari sana

Hayo majibu ya hivyo wanatoaga wale jamaa wanaosali huku wakielekea mahali fulani hivi,sasa wewe inaonekana sio mmoja wao,sasa sijui kwanini unakuwa na mfanano nao!
 
We umeona mtiririko wako hapo juu uko sawa?

Kama mtiririko hauko sawa lawama ni kwa yule aliyeweka huo mtiririko

Kwa upande mwingine mimi sio niliyeweka mtiririko bali ni wewe

Kama mtiririko hauko sawa wa kulaumiwa ni yule aliyeuweka na sio ambae hajauweka

Umeona tatizo lako?
 
Mgonjwa A katibiwa na Dr X Akapona = LEGIT
Mgonjwa B katibiwa na Mungu akapona = NEVER
Unapo jadiriana na mimi, jifunze kubakia kwenye mada na sio kukimbia na kuchomekeza vitu usivyo vielewa. TUBAKIE KWENYE MADA YAKO YA MADKATARI. AU MADA YAKO IMESHA KUSHINDA, NA UNAANZA UTAMADUNU ULE ULE WA GOD DOES NOT EXISTS?

SASA NAWEKA ARGUMENT YANGU TENA

1. Mgonjwa "a" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akapona Saratani.
2. Mgonjwa "b" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akafa kwasababu ya Saratani ya ubongo.
3. Kama dawa ndio inaponya Saratani, KWANINI MGONJWA "b" hakupona baada ya kutibiwa na Doctor "q"?

Nataka utumie empirical facts and inapo wezekana weka na links kusaidia jibu lako.
 
Unapo jadiriana na mimi, jifunze kubakia kwenye mada na sio kukimbia na kuchomekeza vitu usivyo vielewa. TUBAKIE KWENYE MADA YAKO YA MADKATARI. AU MADA YAKO IMESHA KUSHINDA, NA UNAANZA UTAMADUNU ULE ULE WA GOD DOES NOT EXISTS?

SASA NAWEKA ARGUMENT YANGU TENA

1. Mgonjwa "a" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akapona Saratani.
2. Mgonjwa "b" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akafa kwasababu ya Saratani ya ubongo.
3. Kama dawa ndio inaponya Saratani, KWANINI MGONJWA "b" hakupona baada ya kutibiwa na Doctor "q"?

Nataka utumie empirical facts and inapo wezekana weka na links kusaidia jibu lako.

Mkuu mwishowe utawekwa kwenye ile kitu shauri yako ........

Hahahahahaaaaaaaa ......!!
 
1;Ili sayansi ifanye kazi inategemea kanuni zinazousimamia ulimwengu huu ziwe kamili bila kuyumbishwa vinginevyo hawawezi kufanya kazi yao vyema

2;Uhai wa huyo anaefanyiwa upasuaji unaegemea kwa hao madaktari wakiwa timamu kiakili na kiafya,yote haya hayako kwenye mamlaka yao bali mwingine ambae ni Mungu

Kama unabisha thibitisha kuwa hayo yote yanatoka pengine na sio kwa Mungu

Naomba nikurudishie swali hapa, Jee na wewe unaweza kuthibitisha kwamba hayo yote yanatokea kwa uwezo wa Mungu?
 
Unapo jadiriana na mimi, jifunze kubakia kwenye mada na sio kukimbia na kuchomekeza vitu usivyo vielewa. TUBAKIE KWENYE MADA YAKO YA MADKATARI. AU MADA YAKO IMESHA KUSHINDA, NA UNAANZA UTAMADUNU ULE ULE WA GOD DOES NOT EXISTS?

SASA NAWEKA ARGUMENT YANGU TENA

1. Mgonjwa "a" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akapona Saratani.
2. Mgonjwa "b" wa Saratani ya ubongo, katibiwa na Doctor "q" akafa kwasababu ya Saratani ya ubongo.
3. Kama dawa ndio inaponya Saratani, KWANINI MGONJWA "b" hakupona baada ya kutibiwa na Doctor "q"?

Nataka utumie empirical facts and inapo wezekana weka na links kusaidia jibu lako.

Unataka kusemaje, daktari mwenye "upako" ndiye anayeponya si dawa?
Unataka tuanze kujifunza basics za baiolojia na kemia?!!!..I though you said tubaki kwenye mada!
 
Unataka kusemaje, daktari mwenye "upako" ndiye anayeponya si dawa?
Unataka tuanze kujifunza basics za baiolojia na kemia?!!!..I though you said tubaki kwenye mada!
I must be talking to a kid here.

Tafuta mwenye ufahamu zaidi yako aje hapa kukusaidia Free ideas upo wapi wewe, njoo umsaidie ndugu yao hapa.
 
Last edited by a moderator:
Hizi science kwa mtu mwenye kufikiri zinaongeza imani kuliko kupunguza. Zinaonesha utukufu wa The All-mighty katika uumbaji.

Yaani kwa reasoning yako ni sawa wewe ununue gari kwa mjapani halafu kwa kuwa kuna fundi anayekurekebishia hapo mtaani kwenu wewe useme eti hakuna mjapani duniani. Huyu fundi wako ndio kila kitu!!!
 
Unataka kusemaje, daktari mwenye "upako" ndiye anayeponya si dawa?
Unataka tuanze kujifunza basics za baiolojia na kemia?!!!..I though you said tubaki kwenye mada!

Inawezekana hata hujui mada yako inahusu nini

Uliposema "sayansi" hukujua kuwa kuna uhusiano na baiolojia na kemia?

Masuala ya "upako" yanatoka wapi?

Halafu wewe na yule mwenzako mnakuwa kama mlikuwa ni waumini wa yule mungu aliyeko kule mashariki ya kati kule kwenye mafuta mengi,maana hoja zenu zinataka kufanana na hao jamaa!
 


:hail:I bow to the docs, hands down, thats pure science! Inasikitisha sana mtu ana mgonjwa kwenye critical condition, daktari akiokoa maisha yake shukrani anapewa mungu, how does he even come into this?!!...:wacko:


Aliye create pure science ni Mungu, hata hao madaktari hawakujiumba wala kujizaa, that's the way God comes into picture dude.

Hata kama.hatutaki.kumwita Mungu
 
Last edited by a moderator:
Kabla ya kuuliza kwanza jibu swali langu kwanza

Au kama unakubali huwezi sema tu!

Kukubali nini mkuu?

Ni hivi hapa mimi niko neutral (sijui ni Mungu au si Mungu), mleta mada anasema si Mungu, wewe unasema ni Mungu.

Sasa wewe usemaye ni Mungu naomba uthibitishe, na mleta mada na yeye athibitishe (nafikiri umeshamuuliza swali).

Leo nataka elimu tu, siko upande wowote.
 
Aliye create pure science ni Mungu, hata hao madaktari hawakujiumba wala kujizaa, that's the way God comes into picture dude.

Hata kama.hatutaki.kumwita Mungu

Mungu ndiyo kawatengeza madaktari?!!!...uuuuuwi, hii kali! how?..If I may ask.
 
Back
Top Bottom