Complete heart transplant; rethink your faith!

Complete heart transplant; rethink your faith!

Asante kwa somo hilo hapo juu

Nimelipenda

Mukulu,kabla ya kwenda kote huko,unaweza kutembea barabarani na ukaona "nyayo" na ukaanza kujiuliza "kuna nini kimepeta hapa"

Hilo aina la swali linaashiria kuwa "unadhani" kuna kilichopita hapo lakini bado hujajua ni nini

Sasa basi,duniani kuna uhai na viumbe hai ambavyo vina utaratibu na maumbile tofauti,kwa mantiki hiyo hapo juu ya "nyayo",huoni kwamba kuanza "kudhani" kuwa kuna aliyefanya haya yote ni sahihi kimantiki badala ya kuanza kudhani hakuna aliyefanya? [kabla hata ya kuamua kuwa aliyeyafanya haya ni Mungu]

Kwa nini usitumie Mantiki itakayokufanya udhani kuwa "nyayo" ni za "kitu" kilichopita hapa kwenye suala la kuonya "nyayo" kama binadamu,miti n.k kuwa ni alama ya uwepo muwekaji?

Mukulu,unaamini leo tena?

Halafu kwanini unadhani kuna contradiction?

Basis za contradiction ambazo zinakufanya "uziamini" na kuzitumia kwenye mambo ya Mungu uliyoyasikia zimetoka wapi?
Kwanini hazibadiliki?

By the way,ni contradiction au hujaelewa?

Kwa nini sababu ya uhai na dunia kuwapo iwe ni "nani" na si "nini"?

Mungu mwenye uwezo wote, upendo wote, ujuzi wote kwa nini aachie viumbe wake aliowaumba mwenyewe na anaowapenda wapate maumivu, magonjwa na mabaya yote ya dunia hii wakati ana.kila uwezo na sababu ya kuzuia hilo?
 
Sasa mkuu kama kutakuwa hakuna ambacho ni tegemezi maisha yataweza kuendeleaje na naona "kama haiwezekani" hivi,nasema hivyo kwa sababu kuwa HAIWEZEKANI KILA KIMOJA KIWE TEGEMEZI

Sisi binadamu ni tegemezi wa mazingira yanayotuzunguka,bila ardhi,maji n.k hatuwezi kuendelea kuwepo
Viume vingine navyo ni hivyo

Kwanini tutegemee mazingira na "sio kitu kingine"?

Inawezekanaje kila kimoja kiwe ni tegemezi halafu maisha yaendelee?

Huwezi kuona kuna uwezekano kuna ambacho ndio provider?

Hujajibu swali.

What is not "tegemezi"?
 
Kwa nini sababu ya uhai na dunia kuwapo iwe ni "nani" na si "nini"?
Sawa,kwanini usijenge hoja ya nini kimeleta huo uhai?
Mungu mwenye uwezo wote, upendo wote, ujuzi wote kwa nini aachie viumbe wake aliowaumba mwenyewe na anaowapenda wapate maumivu, magonjwa na mabaya yote ya dunia hii wakati ana.kila uwezo na sababu ya kuzuia hilo?
Kwani mimi nimemuadress Mungu hapo?

Halafu ukisoma kwa makini utagundua kuwa nilisema kuwa tuanzie na step ya kwanza ya ku doubt kama mfano wangu wa nyayo hapo juu,Mungu anakujaje hapa?

Au hii sentensi yangu hapa chini hukuiona?
[kabla hata ya kuamua kuwa aliyeyafanya haya ni Mungu]
 
Sawa,kwanini usijenge hoja ya nini kimeleta huo uhai?

Kwani mimi nimemuadress Mungu hapo?

Halafu ukisoma kwa makini utagundua kuwa nilisema kuwa tuanzie na step ya kwanza ya ku doubt kama mfano wangu wa nyayo hapo juu,Mungu anakujaje hapa?

Au hii sentensi yangu hapa chini hukuiona?

Nishajadili kuhusu haja ya uchunguzi hapo juu.

Na mungu umemleta wewe, mimi nilijibu tu.

Check the flow.
 
Hujajibu swali.

What is not "tegemezi"?

Ni sawa na mtu amekwenda hospital akaambiwa kuwa sukari imepungua kwenye mwili wake,akaenda nyumbani akaletewa miwa pamoja na vyakula vingine na vinywaji ili aongeze sukari mwilini agome na kudai kuwa kwakuwa ameambiwa mwili umepungukiwa sukari basi anataka aletewe sukari kama sukari!
 
Nasema ni assumption kwa sababu huwezi thibitisha kwamba vitu vyote vina muwekaji, mf Mungu muwekaji wake ni nani?



Mkuu hebu tuangalie maana ya Mungu.

To cut off the story

Unaweza kuniambia Mungu mwenye uwezo wote na nguvu zote anaweza kuwekwa na nani? [kama hata unajua maana ya nguvu zote na uwezo wote]

Unaamini [kujua] kuwa huyu Mungu yupo?

Hebu nijibu hayo maswali ili tusiendelee kujaza sever za JF bila sababu za msingi!
 
To cut off the story

Unaweza kuniambia Mungu mwenye uwezo wote na nguvu zote anaweza kuwekwa na nani? [kama hata unajua maana ya nguvu zote na uwezo wote]

Unaamini [kujua] kuwa huyu Mungu yupo?

Hebu nijibu hayo maswali ili tusiendelee kujaza sever za JF bila sababu za msingi!

Mkuu naona hapa hatuelewani, mimi sijasema kuwa Mungu kawekwa, ila mantiki yako ndo itamfanya Mungu awe kawekwa,

Mkuu siamini wala sijui kama Mungu yupo au hayupo, lakini nimesikia habari zake nyingi na sifa kem kem kama nilvyokuwekea pale juu, lakini hakuna uthibitisho wowote.

Ndo maana nikakuuliza kama unaweza kuthibitisha uwepo wake unithibitishie.
 
Sio kweli na ndio maana ukaniuliza "kwanini iwe uhai na dunia iwe umetoka kwa nani na sio nini"

Wapi?
Kivipi?

Hata kuuliza ni uchunguzi.

Ukiangalia mfululizo wa posts utaona ulipoanza kumtaja mungu na mimi nilipojibu.
 
Mkuu naona hapa hatuelewani, mimi sijasema kuwa Mungu kawekwa, ila mantiki yako ndo itamfanya Mungu awe kawekwa,
Tatizo naona kama kuelewa kile ninachoandika ndio shida
Mkuu,sijasema kuwa wewe umesema chochote hapo bali lilikuwa ni swali la kukufanya utafakari kuwa kama mwenye sifa hizo anaweza kuwekwa na yoyote
Mkuu siamini wala sijui kama Mungu yupo au hayupo, lakini nimesikia habari zake nyingi na sifa kem kem kama nilvyokuwekea pale juu, lakini hakuna uthibitisho wowote.
Sasa sikia,kanuni ya maumbile inasema kuwa "intelligence come from intelligence" kwa kutumia kanuni hii ni kuwa kitendo cha wewe ku doubt uwepo wa Mungu kinaonesha kuwa una "akili" kama una akili hiyo ni wazi kuwa akili yako imetoka kwenye kilicho na akili

Kwa hayo hapo juu wewe ni uthibitisho wa uwepo wa Mungu,kama unabisha thibitisha hilo na kumbuka utakuwa unapingana na kanuni ambazo zinaongoza ulimwengu huu
Ndo maana nikakuuliza kama unaweza kuthibitisha uwepo wake unithibitishie.
Soma hapo juu!
 
Unaemuuliza asipokupa jibu nini kinatokea?

Nioneshe nilipomtaja Mungu kwenye post niliyo ku quote na nikasema ndie aliyeumba ulimwengu huu!

Hahaha,

Extension ya kuuumba ulimwengu huu ni implicit in Judeo Christian thought.

Are you now repudiating the Judeo Christian god?
 
Tatizo naona kama kuelewa kile ninachoandika ndio shida
Mkuu,sijasema kuwa wewe umesema chochote hapo bali lilikuwa ni swali la kukufanya utafakari kuwa kama mwenye sifa hizo anaweza kuwekwa na yoyote

Sasa sikia,kanuni ya maumbile inasema kuwa "intelligence come from intelligence" kwa kutumia kanuni hii ni kuwa kitendo cha wewe ku doubt uwepo wa Mungu kinaonesha kuwa una "akili" kama una akili hiyo ni wazi kuwa akili yako imetoka kwenye kilicho na akili

Kwa hayo hapo juu wewe ni uthibitisho wa uwepo wa Mungu,kama unabisha thibitisha hilo na kumbuka utakuwa unapingana na kanuni ambazo zinaongoza ulimwengu huu

Soma hapo juu!

If intelligence must come from intelligence, where did gids intelligence come from?

Which intelligence gave rise to god's intelligence?

And if god's intelligence was caused by some external factor, is that god really a god or just a highly complex being?

And if god did not get his intelligence from an external factor, is it really true that intelligence must come from intelligence?
 
If intelligence must come from intelligence, where did gids intelligence come from?

Which intelligence gave rise to god's intelligence?

And if god's intelligence was caused by some external factor, is that god really a god or just a highly complex being?

And if god did not get his intelligence from an external factor, is it really true that intelligence must come from intelligence?

Uidandie treni kwa mbele,angalia mtiririko kisha uone kilichonifanya nikatoa hayo maelezo!
 
1. Provability is relevant only in a certain framework. Ultimately, all provability is fallible and qualified. If you haven't grasped this in my previous writing, I doubt I can help you further.

2. What is "GOD"?

3. What is not "tegemezi"?
quote_icon.png
By Kiranga
Hujaelewa/ unakwepa swali, siulizi mungu wangu, nauliza mungu wako.
quote_icon.png
By Free ideas
God is a complicated entity which requires a much more certificated explanation ..........

It can't be better than this.
 
Tatizo naona kama kuelewa kile ninachoandika ndio shida
Mkuu,sijasema kuwa wewe umesema chochote hapo bali lilikuwa ni swali la kukufanya utafakari kuwa kama mwenye sifa hizo anaweza kuwekwa na yoyote

Sasa mkuu, kama mwenye sifa hizo hawezi kuwekwa na yoyote basi mantiki yako haiko sahihi, kwa sababu ulisema kila chenye mpangilio kina muwekaji, sasa iweje Mungu mwenye mpangilio mgumu kabisa kuliko vyote akose muwekaji?

Ndo maana nilikwambia unaassume

Sasa sikia,kanuni ya maumbile inasema kuwa "intelligence come from intelligence" kwa kutumia kanuni hii ni kuwa kitendo cha wewe ku doubt uwepo wa Mungu kinaonesha kuwa una "akili" kama una akili hiyo ni wazi kuwa akili yako imetoka kwenye kilicho na akili

Unaona mkuu tunarudi pale pale, hapo kwenye bold bado inathibitisha kuwa hata hiyo intelligence ya Mungu nayo imetokana na intelligence nyingine zaidi.

Kwa hayo hapo juu wewe ni uthibitisho wa uwepo wa Mungu,kama unabisha thibitisha hilo na kumbuka utakuwa unapingana na kanuni ambazo zinaongoza ulimwengu huu

Hapana mkuu huo si uthibitisho, kwa sababu hiyo mantiki yako ya intelligence from intelligence bado haiwi applicable kwa Mungu, (kwamba kuna intelligence ambayo imemuumba Mungu)

Kama tungekuwa tunaijua intelligence iliyomtengeneza Mungu hapo ungekuwa sahihi

Kama tunaona katika mantiki yako, Mungu ambaye ni intelligent zaidi anaweza asiwe na muumbaji, kwa nini useme mimi ni lazima niwe na muumbaji ambaye ni intlligent zaidi yangu?
 
If intelligence must come from intelligence, where did gids intelligence come from?
Where did you get the malarkey "must"?



Which intelligence gave rise to god's intelligence?
God is more than intelligence. He created the intelligence for you to comprehend.



And if god's intelligence was caused by some external factor, is that god really a god or just a highly complex being?
The "if" shows doubt and does not belong to our God.

And if god did not get his intelligence from an external factor, is it really true that intelligence must come from intelligence?
That is your diabolical opinions and not facts. The "if" syndrome 101
 
Back
Top Bottom